Samofi: Mkojani ana matendo ya kishirikina, nimejitoa Mkojani Gang

Samofi: Mkojani ana matendo ya kishirikina, nimejitoa Mkojani Gang

lord atkin

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
205
Reaction score
769
Wakati kukiwa na Sintofahamu kuhusu hatima ya series ya vichekesho ya Umbambamba inayoandaliwa na kundi la Mkojani Gani, mmoja mwa waigizaji wakuu wa tamthilia ya Umbambamba aitwaye Samofi ametangaza kujitoa kwenye kundi hilo.

Akizungumza na kipindi cha Refresh cha Wasafi TV, Samofi ametaja sababu ya kujitoa kuwa ni kutokana na maslahi huku sababu nyingine ikiwa ni Mkojani ambaye ni kiongozi wa kundi hilo kujihusisha na tabia za kishirikina.

Hii inakuja ikiwa ni siku chache toka waigizaji wengine mambwende na chumvi nyingi kujitoa kwenye kundi hilo pia.



Source: Wasafi media
 
Bongo movie bila ya maudhui ya ushirikina hamna kitu cha Ubunifu.

Ndo maana Mussa banzi akishika soko kitambo kwa movies zake na watu walipenda sana.

Kujitoa ni kawaida kwanza kakosea kundi kuliita jina lake halisi eti "mkojani gang" ni makosa huyo jamaa ni mkubwa kwa kuigiza kama huyo mkojani so wasingeweza kabisa kukaa sehemu moja .

Kama unabisha fuatilia like kundi la "Tales of the crazy kennar" yule jamaa anajiitaa usefulyidioty alijitoa kwa sababu kwanza jina linaakisi mkubwa ni crazy kennar ,kingine ni ishu ya maslahi hamna cha uchawi wala nn wengi ni waoga.

Nilipokuwa advance niliibiwa paketi ya boxer zilikuwa tatu nilikuwa ndo nimetoka kununua basi ..wananijua mi fika ni mtu wa Pwani basi siku pale shule palikuwa na uwizi wa hatar ,mi nikajua hapa nishapigwa kabisa na sitopata maana ...Jioni tunakuwa na mda wa matangazo tukichukua chakula ile saa 12 nikaomba niongee kitu kwamba nimeibiwa ila natangaza siku 3 kitakachotokea tusipeane lawama.

Na ilikuwa likizo inakaribia kama wiki tusepe ..Dah siku ya tatu nimezikuta juu ya sanduku langu😂😂na zilikuwa zishafunguliwa yaani watu wa bara mnatuogopa sana ....Na huo uchawi ni nadharia wala haupo kabisa.


Nimesoma pale sijawahi kuibiwa mpaka namaliza form six ila nilikuwa nawapanga sana kwa story za uongo za uchawi 😂😂ikawa wananiogopa sana maana sio nipo serious nikitoka dormitory nipo msikitini au darasani yaani sina time kabisa
 
Bongo movie bila ya maudhui ya ushirikina hamna kitu cha Ubunifu.

Ndo maana Mussa banzi akishika soko kitambo kwa movies zake na watu walipenda sana.

Kujitoa ni kawaida kwanza kakosea kundi kuliita jina lake halisi eti "mkojani gang" ni makosa huyo jamaa ni mkubwa kwa kuigiza kama huyo mkojani so wasingeweza kabisa kukaa sehemu moja .

Kama unabisha fuatilia like kundi la "Tales of the crazy kennar" yule jamaa anajiitaa usefulyidioty alijitoa kwa sababu kwanza jina linaakisi mkubwa ni crazy kennar ,kingine ni ishu ya maslahi hamna cha uchawi wala nn wengi ni waoga.

Nilipokuwa advance niliibiwa paketi ya boxer zilikuwa tatu nilikuwa ndo nimetoka kununua basi ..wananijua mi fika ni mtu wa Pwani basi siku pale shule palikuwa na uwizi wa hatar ,mi nikajua hapa nishapigwa kabisa na sitopata maana ...Jioni tunakuwa na mda wa matangazo tukichukua chakula ile saa 12 nikaomba niongee kitu kwamba nimeibiwa ila natangaza siku 3 kitakachotokea tusipeane lawama.

Na ilikuwa likizo inakaribia kama wiki tusepe ..Dah siku ya tatu nimezikuta juu ya sanduku langu😂😂na zilikuwa zishafunguliwa yaani watu wa bara mnatuogopa sana ....Na huo uchawi ni nadharia wala haupo kabisa.


Nimesoma pale sijawahi kuibiwa mpaka namaliza form six ila nilikuwa nawapanga sana kwa story za uongo za uchawi 😂😂ikawa wananiogopa sana maana sio nipo serious nikitoka dormitory nipo msikitini au darasani yaani sina time kabisa
Hapa Kuna hoja nime ipata Kuna Uhusiano
MSIKITINI NA UCHAWI? Ukiwa na sigida NDIO unaogopwa kabisa🤓🤓

maana sijawai sikia mlokole akumtishia mtu atamsomea Kisomo??🤓🤓
 
Back
Top Bottom