John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 713
- 1,246
Apumzike kwa amani. Poleni familia ya marehemu na UVCCM.
JJ
JJ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua Wewe Ni Ki Kati Ya Watu Wa Pumbavu Sijapata Kuona Katika Maisha Yangu...hapa Watu Wanatoa Pole Za Msiba Na Kumwaga Mpendwa Wao.wewe Unajifanya Mwanamapinduzi Wa Kupambana Kila Mahali Kibaraka Wa Jm.mila Za Afrika Hatubagui Watu Ktk Misiba Au Kujifanya Wewe Ndiwe Mwanamapindizi Sana Falasi Wewe.
Unajua Wewe Ni Ki Kati Ya Watu Wa Pumbavu Sijapata Kuona Katika Maisha Yangu...hapa Watu Wanatoa Pole Za Msiba Na Kumwaga Mpendwa Wao.wewe Unajifanya Mwanamapinduzi Wa Kupambana Kila Mahali Kibaraka Wa Jm.mila Za Afrika Hatubagui Watu Ktk Misiba Au Kujifanya Wewe Ndiwe Mwanamapindizi Sana Falasi Wewe.
Sasa kuna ubaya gani? hata mimi natoka mbeya-kyela na kweli kuna mafisadi na wanafiki wengi. wewe ni wa kupuuzwa na kusamehewa!
Nimezipokea habari za kifo cha kada Kipepe kwa mshtuko mkubwa sana.Nilipoamka tu asubuhi majira ya saa 1.30 asubuhi kwa saa za hapa Marekani