Unajua Wewe Ni Ki Kati Ya Watu Wa Pumbavu Sijapata Kuona Katika Maisha Yangu...hapa Watu Wanatoa Pole Za Msiba Na Kumwaga Mpendwa Wao.wewe Unajifanya Mwanamapinduzi Wa Kupambana Kila Mahali Kibaraka Wa Jm.mila Za Afrika Hatubagui Watu Ktk Misiba Au Kujifanya Wewe Ndiwe Mwanamapindizi Sana Falasi Wewe.
Unajua Wewe Ni Ki Kati Ya Watu Wa Pumbavu Sijapata Kuona Katika Maisha Yangu...hapa Watu Wanatoa Pole Za Msiba Na Kumwaga Mpendwa Wao.wewe Unajifanya Mwanamapinduzi Wa Kupambana Kila Mahali Kibaraka Wa Jm.mila Za Afrika Hatubagui Watu Ktk Misiba Au Kujifanya Wewe Ndiwe Mwanamapindizi Sana Falasi Wewe.
Isiwe tabu mkuu,kama shida yako ni kujua zone,basi ni kwa saa za mashariki(7.30.ET).Niwie radhi kwa usumbufu ulioupata, maana nia yangu ilikuwa ni kuomboleza na ndio maana sikuzingatia vitu vidogo kama hivyo.Mzee ukisema saa 1.30 asubuhi kwa saa za hapa Marekani ni nafuu usingeandika tu hiyo sentensi au ungetupa zone zaidi ya hapo haitusaidii kitu hiyo sana sana unatuambia uko Marekani.
Unajua Wewe Ni Ki Kati Ya Watu Wa Pumbavu Sijapata Kuona Katika Maisha Yangu...hapa Watu Wanatoa Pole Za Msiba Na Kumwaga Mpendwa Wao.wewe Unajifanya Mwanamapinduzi Wa Kupambana Kila Mahali Kibaraka Wa Jm.mila Za Afrika Hatubagui Watu Ktk Misiba Au Kujifanya Wewe Ndiwe Mwanamapindizi Sana Falasi Wewe.
Kipepe tangulia, sote twaja huko. RIP
1. Marehemu Kipepe tulifahamiana tangu mwaka 1998 wakati sote kwa pamoja tulipoingia kwenye uongozi wa UVCCM,mimi nikiwa Mwenyekiti wa UVCCM wa Wilaya na yeye wakati huo alikuwa ni mchumi wa UVCCM,makao makuu.
2. Tuligombea kwa pamoja ujumbe wa baraza kuu la UVCCM, Taifa katika uchaguzi wa mwaka 1998 mjini Dodoma.
3. Mimi sikufanikiwa kushinda bali comrade Kipepe alishinda nafasi hiyo baada ya kutofanikiwa katika nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa UVCCM dhidi ya Mh.Dr.Emaanuel Nchimbi(MB).
4. Tulifanya kazi wote kwa kipindi hicho chote cha miaka 5 ya uongozi wetu,alikuwa ni kijana makini sana mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja na mwenye kujiamini sana.
5. Sifa ambazo ninaamini zilipelekea kupandishwa cheo hadi kuwa Afisa Tawala Mkuu wa UVCCM,Makao Makuu.Mara ya mwisho nilikutana naye mjini Dodoma katika kikao cha baraza kuu la UVCCM mwaka jana nilipokuwa nyumbani Tanzania,kwa likizo fupi ya majira ya kiangazi.Tuliongea masuala mengi sana yahusuyo jumuiya yetu na chama kwa ujumla.
6. Hakika UVCCM tumempoteza kada mahiri sana hasa katika kipindi hiki muhimu kabisa,ambapo jumuiya inakabiliwa na uchaguzi mkuu.Ni imani yangu kwamba busara,hekima,umakini,na zaidi sana, uzoefu wake mkubwa katika shighuli za UVCCM,vilikuwa bado vinahitajika sana hususani kwa uongozi mpya tunaoutarajia kuupata mwishoni mwa mwaka huu.
7. Nahitimisha kwa kutoa pole kwa uongozi wote wa UVCCM chini ya Mwenyekiti comrade Nchimbi,
Mkuu Wangu Mtanzania,
Heshima mbele mkuu, si unayaona haya mkuu nilikuambia kuwa huko Kyela una kazi kubwa sana ya kusafisha uozo, maana sasa hawajifichi tena,
Mungu Amuweke Pema Marehemu!
Zitto angalia email yako...