Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui simu wewe...yaani A10s ukalinganishe na A02s??A02s hakuna simu hapo inazidiwa kila kitu na A10s yan kikubwa ni bettry,camera, Rom, na Ram ila processor ambayo ndo simu yenyewe ndogo... Yan bora Spark 4 kabisaa
Kama unapenda Samsung inayokaa na chaji chukua A02s
Mkuu hii Redmi 9t inapata Android 11 kweli??Kwa around 300k mpaka 400k chukua Xiaomi redmi 9T hapo kenya kama Una mtu muagizie. Overall ndio simu nzuri zaidi kwa hii budget.
Kama budget inaongezeka kidogo 380k mpaka 450k xiaomi redmi note 10 ni nzuri zaidi.
Kuhusu A02 hii simu bei yake ni chini ya 300k, recommended price 250k kushuka, kama wadau walivyo shauri huko juu soc yake snapdragon 450 inakaa na chaji sana na haina nguvu.
Haikai na chaji kama hizo Samsung nyengine tulizozitaja ila ina nguvu zaidi na Display ya amoled.Chief vipi A30s ukicompare na hizo mbili
Ndio android 11 si ndio tunayo sasa hivi? Itapata, ambayo haina uhakika ni Android 12.Mkuu hii Redmi 9t inapata Android 11 kweli??