Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Sasa hapo umeshaweka tofauti tayari,kuwa na heshima na samsung aseeBro A10 ni kma Tecno tu. Sema tu samsung software yao ni nzuri sana kuliko ya Tecno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo umeshaweka tofauti tayari,kuwa na heshima na samsung aseeBro A10 ni kma Tecno tu. Sema tu samsung software yao ni nzuri sana kuliko ya Tecno
Naam, nami huwa natumia airplane modeAirplane mode tu inatosha.
Ni ukweli tu bro. Mm nna Galaxy A50 na iko poa sana. Hzo za chini ni jau tuSasa hapo umeshaweka tofauti tayari,kuwa na heshima na samsung asee
Mkuu unataka kusema A20 ni nzuri kuliko A20s?A10 kama tecno? We ulisikia wapi?.A series zote zisizo na (s) ni nzuri sana.zimepotea madukani pia.
Screen ya A20 ni nzuri kuliko A20s. Ila A10s ni bora kuliko A10 kwenye kila kitu.Mkuu unataka kusema A20 ni nzuri kuliko A20s?
Kama ni ndio basi automatic A10s na A20s ni kimeo.
Naomba ufafanuzi uzuri wa A20 na A10
Kwahiyo hawa watu wanatudanganya?Natumia Samsung A10 kwa kweli ipo tofauti na TECNO nilizowahi kutumia huko nyuma.
Ila kwenye kipengele cha kuchelewa kuconnect data nakubaliana na wewe wakati mwingine unaweza ukaunga bando la MB lakini bado simu inakuambia hauna data.
Ni simu nzuri kwa sisi wenye kipato cha chini. Hata mtu simshauri achukue TECNO.
Hii Samsung A10 naona ipo vizuri sana kwenye Camera mchana tofauti na TECNO.
Mkuu umelewa?Sure mkuu Infinix ya 280k ina ubora zaidi kuliko Samsung A10s ambayo inauzwa 320k
hili hapa ndio jibuwanaotaka kumiliki brand ya Samsung ila bajet yao ndogo
We ishia hapo hapo.eti A10s ni bora kuliko A10,hauko sawa weweScreen ya A20 ni nzuri kuliko A20s. Ila A10s ni bora kuliko A10 kwenye kila kitu.
Screen ya A20 ni nzuri kuliko A20s. Ila A10s ni bora kuliko A10 kwenye kila kitu.
| Chipset | A10 Samsung Exynos 7 Octa 7884 | A10s MediaTek Helio P22 |
Stability mkuu,A kavu ni za uhakika zaidi kuliko As.bila kujali specification.nimetumia A10,mwanangu anayo A10s.wife alitumia A30 baadae akahamia A30s baada ya A30 kuporwa na kishandu,alipoenda kutafuta tena A30 dukani akakuta zimepotea,akachukua A30s.anajuta kuifahamu.Mkuu unataka kusema A20 ni nzuri kuliko A20s?
Kama ni ndio basi automatic A10s na A20s ni kimeo.
Naomba ufafanuzi uzuri wa A20 na A10
mpe pole[emoji3][emoji3].Stability mkuu,A kavu ni za uhakika zaidi kuliko As.bila kujali specification.nimetumia A10,mwanangu anayo A10s.wife alitumia A30 baadae akahamia A30s baada ya A30 kuporwa na kishandu,alipoenda kutafuta tena A30 dukani akakuta zimepotea,akachukua A30s.anajuta kuifahamu.
Sijui waliwaza nini kutoa hizi Asmpe pole[emoji3][emoji3].
mimi nina a20 anatumia wife,jamaa yangu alikuwa na a30s,30s haina maajabu ya msingi kuizidi 20.
labda wameamua kuwa matapeli sasa.
A30 ni mashine ndugu yangu nadhani ndio maana zimeadimika kwa sasa baada ya soko kuvamiwa ila zina ubora wa hali ya juuStability mkuu,A kavu ni za uhakika zaidi kuliko As.bila kujali specification.nimetumia A10,mwanangu anayo A10s.wife alitumia A30 baadae akahamia A30s baada ya A30 kuporwa na kishandu,alipoenda kutafuta tena A30 dukani akakuta zimepotea,akachukua A30s.anajuta kuifahamu.