Samsung A10s

Samsung A10s

Cha kukusihi tu tafta ramani kwanza hata ujue ka mzigo utachukua mahali flani uzungushe mkaliwade!

Bila hivyo utachoma tu, mi naelewa mambo ya hela nshapotezaga hela ndefu sana! Unachukua M huna ramani unajikuta mara umebunya laki imebaki 9...unaona aah bado ipo lakini mara paap 7! Mara 5 eeh! Mwisho unabakia na makende sababu pa kuipeleka ili ilete hela nilikuwa sinapo.
Mkuu asante sanaaaa, vipi huijui michongo ya online mkuu
Mkuu michongo ya online kuna jamaa analetaga sana humu anaitwa GLOBAL CITIZEN huyu jamaa! Jaribu kubonga nae zaidi anaijua jua.
Asante
 
Mkuu no ramani ila mwili na akili vinaniambia niuze huenda nikafanya jambo la kuniingizia hela, naogopa kukaa sehemu natumia hela but sina vyanzo vya kuingiza niliyotumia na hata zaidi, nikahis kama n cm ntaikutaga mbeleni
Mkuu, nipo Rukwa pia, ila kwa sasa mzunguko wa pesa ni mdogo maana watu wengi wamepeleka hela mashambani. Nilikua na kibiashara ila nataka niachane nacho nirudi mjini. Ungefanya hata manual work, uvumilie walau kiangazi unaweza kupata cha kufanya. Kwa sasa biashara ni ngumu sana huku mkoani. (Nipo Rukwa pia)
 
Mkuu, nipo Rukwa pia, ila kwa sasa mzunguko wa pesa ni mdogo maana watu wengi wamepeleka hela mashambani. Nilikua na kibiashara ila nataka niachane nacho nirudi mjini. Ungefanya hata manual work, uvumilie walau kiangazi unaweza kupata cha kufanya. Kwa sasa biashara ni ngumu sana huku mkoani. (Nipo Rukwa pia)
Mkuu asante ntakucheki pm nikitulia mkuu, asante
 
Back
Top Bottom