Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
Naombeni msaada wakuu kufahamu Samsung A22 Upande wa Camera Na kukaa na chaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Betri ni 5000, so ipo vzr sana. Camera ni yakwaida tu, not so premium. Simu kwa matumizi mengine haina shida kbs, ipo vzr.Naombeni msaada wakuu kufahamu Samsung A22 Upande wa Camera Na kukaa na chaji
nashukuru mkuu kwa ushauri wako so far camera inaweza endana A13?Betri ni 5000, so ipo vzr sana. Camera ni yakwaida tu, not so premium. Simu kwa matumizi mengine haina shida kbs, ipo vzr.
Kama unataka Camera Kali nenda Google pixel au Flagship phones like S series, Note for Sumsung.
Kama pesa ni kiduchu, below 500 chukua hiyo 22
Umeidogosha sana.Betri ni 5000, so ipo vzr sana. Camera ni yakwaida tu, not so premium. Simu kwa matumizi mengine haina shida kbs, ipo vzr.
Kama unataka Camera Kali nenda Google pixel au Flagship phones like S series, Note for Sumsung.
Kama pesa ni kiduchu, below 500 chukua hiyo 22
Vipi Camera yake mkuu ?Umeidogosha sana.
A22 imetulia kwa uimara. Sijaweka protector ya screen tangu 2022 na imeanguka sana hakuna mchubuko kwenye kioo.
Mkuu hebu rekebisha kauli
Vipi upande wa Camera mkuuNibonge moja la simu iko poasana
Naomba ulinganifu wa bei mkuuNingekuwa wewe nachukua S21 used ina kila kitu kuzidi A22 na bei zinaendana. A series sizipendi
S21
eSIM
5G
More screen quality (you feel that Samsung)
Camera ndio mbingu na ardhi dhidi ya A22
Advantage ya A22 ni warranty na lifespan ila siwezi ichagua over S21.
kati S9,A05s,A22 ipi bora kwa budget ambayo ni chini ya 400k iwe used au mpyaA22 ni Imara sana naitumia tangu 2022 na betri yake mpaka iko poa
Mediatek ni kama Tekno tu,hapo hamna simuSijui kwanini napata mashaka sana kila ninapoona simu ina chipset za MediaTeki
Kwanini mkuu unaielewa Snapdragon?Sijui kwanini napata mashaka sana kila ninapoona simu ina chipset za MediaTeki
Mimi sio mtalaam wa simu, lakini nikienda tu gsmarena nikakuta wanataja chipset hiyo, hiyo simu nitachukua iwapo tu nitapewa bure.Sijui kwanini napata mashaka sana kila ninapoona simu ina chipset za MediaTeki
[emoji1][emoji1][emoji1]Mimi sio mtalaam wa simu, lakini nikienda tu gsmarena nikakuta wanataja chipset hiyo, hiyo simu nitachukua iwapo tu nitapewa bure.
samsung A15 iko poa sana mkuu utafurahi ukitumia BEI mpya 390-365 inategemea na dukakati S9,A05s,A22 ipi bora kwa budget ambayo ni chini ya 400k iwe used au mpya
Kama ipi mkuu A05s au A06?Mbona unachagua simu za zamani? Kamata ya mwaka huu