Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5G kuna baadhi ya mitandao yetu haina. 4G yenyewe inasumbua baadhi ya maeneoHabari,
Nina sumsung A32 5g
inaandikwa kt network
Ukiweka SIM card ya tigo inaandika
Limited service
Haikubali kusoma line za bongo
Kwa mafundi software na hardware nipeni solution
ndioo hii simu ni ya kampuni ya korea..5G kuna baadhi ya mitandao yetu haina. 4G yenyewe inasumbua baadhi ya maeneo
1. Weka Auto / 3G uone km itashika au 4G
2. Angalia km simu ni ya kampuni ya simu huko ilikotoka. Mfano. Kuna baadhi ya simu zinauzwa na makampuni ya simu kwahiyo ili utumie inahitaji unlock kwanza.
3. Piga *102# au menu yoyote ya hapa Tanzania km inaleta maana kuna zingine zinagoma ku-run baadhi ya SSID Command km tigo pesa, mpesa, huduma za kununua vifurushi km *149*99#, *149*01#, *148*00# au *148*66#
4. Km namba 3 inagoma basi flash kwa global / international firmware.
Ku-flash simu wakati mwingine siyo njia ya kutoa tatizo.ndioo hii simu ni ya kampuni ya korea..
ishapigwa file/flash ila bado ttzo lipo pale pale
Ulinunua simu mpya?Naomba na mm nisaidiwe wapendwa,sim yangu sms ndefu haitaki kuwa sent.Sms iksha kuwa ndefu haikubali kwenda.Sim ni Samsang A31