Phone4Sale Samsung A72 used inauzwa

Phone4Sale Samsung A72 used inauzwa

Samsunga A72 mpya kwa 650,000 nioneshe wapi wanauza asee nikachukue [emoji3][emoji3][emoji3]
Matatizo yameisha ? Komaa kushusha bei umalize matatizo yako, usibishane nao.. maana akikuonyesha ataonyesha hata wenye nia ya kuichukua kwa 650, wataenda kwenye mpya
 
Matatizo yameisha ? Komaa kushusha bei umalize matatizo yako, usibishane nao.. maana akikuonyesha ataonyesha hata wenye nia ya kuichukua kwa 650, wataenda kwenye mpya
Wewe ni chenga kweli, mie nimemuuliza wapi wanauza nikanunue kwa hiyo bei sio kwamba nauza hiyo simu... unawashwa kweli wewe
 
A72 kwa 650k ni almost nusu bei...

Na uzuri huna mashaka ya kua imetumika sana, maana Sokoni imeingia mwezi wa 4.
 
Back
Top Bottom