john_thesmart
Member
- Jan 20, 2022
- 81
- 279
IMEUZWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay watakuja wataalamuNje ya mada: Hivi uki update android version mfano toka 12 to 13 hauwezekani kuirudisha ile ya awali? Yangu inasumbua kwa ku stuck na wakati mwingine inawaka taa yenyewe kama inataka kuingia sms toka nii update au nifanyeje ku solve tatizo?
Unadhani tatizo ni kwa sababu ume-update? Mkiambiwa mnunue simu za maana mnakimbilia hayo maboya ya mchina. Rahisi ghali!Nje ya mada: Hivi uki update android version mfano toka 12 to 13 hauwezekani kuirudisha ile ya awali? Yangu inasumbua kwa ku stuck na wakati mwingine inawaka taa yenyewe kama inataka kuingia sms toka nii update au nifanyeje ku solve tatizo?
Atakuwa anatumia itelUnadhani tatizo ni kwa sababu ume-update? Mkiambiwa mnunue simu za maana mnakimbilia hayo maboya ya mchina. Rahisi ghali!
🤣 🤣 🤣 🤣 Naona umetibuka nyongo!! Nunua simu za maana jombi! Badala ununue Iphone 15 pro max kama mimi unakimbilia mchina wa bei rahisi. Sasa unataka ku-roll-back software ya simu wakati watu wanasonga mbele? Kaishi Kwa Mparange huko ndiko waliko maskini wenzako, tena size yako ni simu za vitochi....Huenda makasiriko yako yanatokana na dhiki ulizonazo kwa sababu labda hata kifungua kinywa hujapata hadi muda huu huku mchana ukiishiaishia na bado haujui hatima yako lakini umesahau tu kwamba si mimi niliyesababisha hayo! Japo sioni umuhimu wa kueleza natumia simu ya aina gani lakini hata hivyo nikwambie tu simu nitumiayo si ya kutoka china ijapokuwa imetoka bara hilo hilo ilipo china na kama ningekuwa natumia hiyo ya china bado ingekuwa sio tatizo kwa sababu bado ingekuwa ni mali yangu.
Nikwambie tu mimi ni mswahili hivyo nazijua vizuri tabia za waswahili kwa maana ya mijitu myeusi na wale wa jamii ya asia wanaoishi Bongo ni watu wanaopenda kujikuza kuliko uhalisia hasa wakiwa humu mitandaoni na ndiyo maana wapo baadhi yao wapo tayari hata kudhalilishwa utu wao(huenda ukawa mmoja wao) ili mradi tu aonekane yeye ni mtu wa hadhi fulani.
Nakushauri tu ukiona jambo lipo juu ya uwezo wako wa kufikiri wewe achana nalo tafuta mada zinazolingana na uwezo wa akili yako.
Unanikasirikia kwani ni mimi nimekunyima uwezo wa kununua simu nzuri? Wewe mwenyewe umesema simu yako inawasha vimulimuli!Kama nilivyosema miswahili ni mijitu mijinga na sasa umeamua kujiweka wazi ujinga wako! Kutamani maisha siyo yako utaishia pabaya ndugu.
Hapana, hata 200 siuzi150k ipo mfuko wa shati
Well, aren't you just a stand-up comedian with a masters in insults? Your insults are like Wi-Fi of your phone in a thunderstorm – disconnected and not appreciated. But hey, keep practicing. Upo?Usinipotezee muda nina uzoefu na malofa kama wewe sitaki mazoea na nguruwe pori kama wewe endelea kujifariji hivyo hivyo.MKUNDU WA MAMA YAKO nimekuvumilia nimechoka naona unataka kunizoea kwa nguvu fanya mambo yako ndugu.
Sasa hapo mbona ipo wazi kabisa kwamba shida ni hela?Umesema upo tayari kubadilishana na smartphone nyingine upewe na hela kidogo
Swali: kwanini unaiuza wakati bado una uhitaji wa smartphone nyingine hiyo ina shida gani?
Sawa pole kwa changamoto broSasa hapo mbona ipo wazi kabisa kwamba shida ni hela?
Nahitaji kiasi fulani tu kinisukume siku mbili tatu ndio maana nafanya hivi. Ningekuwa nina simu nyingine ya kutumia ningeweka bond ila ndio sina na pia mambo ya bond yana usumbufu wake kiaina.
Asante sanaSawa pole kwa changamoto bro
Kujiepusha na watu wajinga au umegundua ujinga wako? Kwani ukiitwa wewe ni fukara wakati siyo fukara au ukiambiwa simu yako ni kimeo, wakati siyo kimeo utajiskia vibaya? Nikumwambie? Fools always assume that others think the way they do, react as they would, and feel the impact of insults as deeply as they do. Hii ndiyo sababu imekufanya ukatukana! Fool per se!Nimeona nifute comments zangu kujiepusha na watu wajinga.
duh...jamaa atarudi na matusi tenaKujiepusha na watu wajinga au umegundua ujinga wako? Kwani ukiitwa wewe ni fukara wakati siyo fukara au ukiambiwa simu yako ni kimeo, wakati siyo kimeo utajiskia vibaya? Nikumwambie? Fools always assume that others think the way they do, react as they would, and feel the impact of insults as deeply as they do. Hii ndiyo sababu imekufanya ukatukana! Fool per se!