Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Naona umetibuka nyongo!! Nunua simu za maana jombi! Badala ununue Iphone 15 pro max kama mimi unakimbilia mchina wa bei rahisi. Sasa unataka ku-roll-back software ya simu wakati watu wanasonga mbele? Kaishi Kwa Mparange huko ndiko waliko maskini wenzako, tena size yako ni simu za vitochi....
Mkuu kumbe ukinunua iPhone 15 tayari unakuwa tajiri? Hili sikulijua maana naona nchi hii ina matajiri wengi mno sema tu hawapendi kujitangaza maana wanaomiliki iPhone 15 ni wengi.
 
Mkuu kumbe ukinunua iPhone 15 tayari unakuwa tajiri? Hili sikulijua maana naona nchi hii ina matajiri wengi mno sema tu hawapendi kujitangaza maana wanaomiliki iPhone 15 ni wengi.
Onyesha niliposema ukinunua Iphone 15 tayari unakuwa tajiri!!
 
Ningenunua hii ila sijaona namna ya kuwasiliana na muuzaji.
 
Hii Galaxy A-14 sio hizi wanazouza tigo kwa mkopo ambapo unatoa cash 120k then unakuwa unalipa 2400 kila siku kwa muda wa siku 360?
 
Back
Top Bottom