Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

Nje ya mada: Hivi uki update android version mfano toka 12 to 13 hauwezekani kuirudisha ile ya awali? Yangu inasumbua kwa ku stuck na wakati mwingine inawaka taa yenyewe kama inataka kuingia sms toka nii update au nifanyeje ku solve tatizo?
Okay watakuja wataalamu
 
Nje ya mada: Hivi uki update android version mfano toka 12 to 13 hauwezekani kuirudisha ile ya awali? Yangu inasumbua kwa ku stuck na wakati mwingine inawaka taa yenyewe kama inataka kuingia sms toka nii update au nifanyeje ku solve tatizo?
Unadhani tatizo ni kwa sababu ume-update? Mkiambiwa mnunue simu za maana mnakimbilia hayo maboya ya mchina. Rahisi ghali!
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Naona umetibuka nyongo!! Nunua simu za maana jombi! Badala ununue Iphone 15 pro max kama mimi unakimbilia mchina wa bei rahisi. Sasa unataka ku-roll-back software ya simu wakati watu wanasonga mbele? Kaishi Kwa Mparange huko ndiko waliko maskini wenzako, tena size yako ni simu za vitochi....
 
Usinipotezee muda nina uzoefu na malofa kama wewe sitaki mazoea na nguruwe pori kama wewe endelea kujifariji hivyo hivyo.MKUNDU WA MAMA YAKO nimekuvumilia nimechoka naona unataka kunizoea kwa nguvu fanya mambo yako ndugu.
Well, aren't you just a stand-up comedian with a masters in insults? Your insults are like Wi-Fi of your phone in a thunderstorm – disconnected and not appreciated. But hey, keep practicing. Upo?
 
Umesema upo tayari kubadilishana na smartphone nyingine upewe na hela kidogo

Swali: kwanini unaiuza wakati bado una uhitaji wa smartphone nyingine hiyo ina shida gani?
 
Umesema upo tayari kubadilishana na smartphone nyingine upewe na hela kidogo

Swali: kwanini unaiuza wakati bado una uhitaji wa smartphone nyingine hiyo ina shida gani?
Sasa hapo mbona ipo wazi kabisa kwamba shida ni hela?
Nahitaji kiasi fulani tu kinisukume siku mbili tatu ndio maana nafanya hivi. Ningekuwa nina simu nyingine ya kutumia ningeweka bond ila ndio sina na pia mambo ya bond yana usumbufu wake kiaina.
 
Sasa hapo mbona ipo wazi kabisa kwamba shida ni hela?
Nahitaji kiasi fulani tu kinisukume siku mbili tatu ndio maana nafanya hivi. Ningekuwa nina simu nyingine ya kutumia ningeweka bond ila ndio sina na pia mambo ya bond yana usumbufu wake kiaina.
Sawa pole kwa changamoto bro
 
Nimeona nifute comments zangu kujiepusha na watu wajinga.
Kujiepusha na watu wajinga au umegundua ujinga wako? Kwani ukiitwa wewe ni fukara wakati siyo fukara au ukiambiwa simu yako ni kimeo, wakati siyo kimeo utajiskia vibaya? Nikumwambie? Fools always assume that others think the way they do, react as they would, and feel the impact of insults as deeply as they do. Hii ndiyo sababu imekufanya ukatukana! Fool per se!
 
duh...jamaa atarudi na matusi tena
 
Pia mkiwa mnanunua simu muanvakie na chipset yake kama iyo a14 mnaibiwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…