john_thesmart
Member
- Jan 20, 2022
- 81
- 279
- Thread starter
-
- #21
Mkuu kumbe ukinunua iPhone 15 tayari unakuwa tajiri? Hili sikulijua maana naona nchi hii ina matajiri wengi mno sema tu hawapendi kujitangaza maana wanaomiliki iPhone 15 ni wengi.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Naona umetibuka nyongo!! Nunua simu za maana jombi! Badala ununue Iphone 15 pro max kama mimi unakimbilia mchina wa bei rahisi. Sasa unataka ku-roll-back software ya simu wakati watu wanasonga mbele? Kaishi Kwa Mparange huko ndiko waliko maskini wenzako, tena size yako ni simu za vitochi....
Onyesha niliposema ukinunua Iphone 15 tayari unakuwa tajiri!!Mkuu kumbe ukinunua iPhone 15 tayari unakuwa tajiri? Hili sikulijua maana naona nchi hii ina matajiri wengi mno sema tu hawapendi kujitangaza maana wanaomiliki iPhone 15 ni wengi.
Amepanic na yeyeOnyesha niliposema ukinunua Iphone 15 tayari unakuwa tajiri!!