Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Ni international model? Ama ilikuwa ni kifaa cha mtandao fulani kimetolewa lock tu? Inawezekana ikawa imejilock tena.Huu uzi unaweza kunisaidia.
Nina Samsung Tablet S6 Lite nili update Android kutoka Android 11 kwenda Android 12 ikagoma kusoma line (sim card), inaandika EMERGENCY CALLS ONLY.
Nikienda kwenye NETWORK OPERATORS sehemu ya SELECT AITOMATICALLY iko ON, nikitaka kuweka OFF ili nifanye MANUALLY haikubali.
Wataalam nisaidieni.
Cc. Chief-Mkwawa
Kwasasa naitumia kwa njia ya WiFi.
View attachment 2358140
Kama umeinunua hivyo hivyo ni vyema uirudishe mkuu, kuna possibilities nyingi hapoWakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu
Uwa inatokea kwa baadhi ya simu chief nakumbuka nmesaidia watu kama wawili hivi walinunua Samsung A13 ikawa haisupport Moja Halotel nyingine Airtel nikawasettia APN simu ikawa frsh.Kama umeinunua hivyo hivyo ni vyema uirudishe mkuu, kuna possibilities nyingi hapo
1. Ikawa ni Demo phone, zile zinazokaa madukani kutest features za simu haziji na uwezo wa kuweka line.
2. Ikawa ni ya mtandao fulani imewekwa lock
3. Hardware za line ni mbovu etc.
Ungeanza na kucheki imei kama ipo.
Nitajuwaje kama imejilock?Ni international model? Ama ilikuwa ni kifaa cha mtandao fulani kimetolewa lock tu? Inawezekana ikawa imejilock tena.
Ila nikicheki picha yako kama mnara umepanda hapo juu, hata ukipiga 100 haikubali?
Not registered to network mkuu anza kuangalia Imei kwanza kama inasoma vizuri.Nitajuwaje kama imejilock?
Picha ya 2 ni baada ya kupiga 100
View attachment 2358356
View attachment 2358357
Mkuu imei inasoma vizuri.Not registered to network mkuu anza kuangalia Imei kwanza kama inasoma vizuri.
Umejaribu kubadili line mkuu?Mkuu imei inasoma vizuri.
Nimeangalia IMEi kwa kutumia *#06# ipo sawa na iliyopo kwenye ABOUT TABLET.
Refurbished hizo mkuu, s6 yenyewe haiwezi kuwa na tatizo kama hilo. Alternative ya kuzima na kuwasha simu ni kuweka Airplane mode na kutoa, jaribu hiyo inaweza kukusaidia.Mimi miezi 3 iliopita nilinunua Samsung 6 edge used,ilikuwa na warrant ya miezi 6,kilichotokea kinafanana na mleta mada,ukiingia kwenye settings hata lile neno la Access Point Name lilikuwa halipo,ilikuwa pia haipigi ussd codes,nikairudisha wakaifanyia factory reset ikakubali,simu sasa inafanyakazi ila isipokuwa na salio la internet hupati mtandao kabisa.Kwahiyo ikiisha salio unai restart mtandao unarudi ila haukai zaidi ya dkk 5,hapo unaiwahi kuingiza bundle na mtandao unakuwepo kama kawaida,sasa nadhani hizi S6 zina hiyo shida...
Ndio Mkuu, nimebadili line za kampuni 2 tofauti bado haikubali.Umejaribu kubadili line mkuu?
Sipati idea ya tatizo mkuu, kuna app inaitwa Network cell info lite download uangalie status ya simu yako, haitasolve tatizo ila itakupa idea kama line inawasiliana na mtandao ama hakuna mawasiliano kabisa etc.Ndio Mkuu, nimebadili line za kampuni 2 tofauti bado haikubali.
Inaonyesha line inawasiliana na mtandao ila nime compate na simu nyingine yenyewe kwenye SERVICE STATE inaandika OUT OF SERVICE.Sipati idea ya tatizo mkuu, kuna app inaitwa Network cell info lite download uangalie status ya simu yako, haitasolve tatizo ila itakupa idea kama line inawasiliana na mtandao ama hakuna mawasiliano kabisa etc.
Hio simu itakuwa ili-flashiwa ikapoteza network! Hii inatokea sana kwenye simu za Samsung!Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu
ugonjwa wa samsung, hapo tafuta nyingine tuu
Hio simu itakuwa ili-flashiwa ikapoteza network! Hii inatokea sana kwenye simu za Samsung!
Nenda kwa mtaalamu wa simu anaeelewa mambo sio wajanja wa mjini,atakui-installia Magisk tatizo lako litaisha!
Ilinisumbua sana.. nikarudi dukani KUBADILISHA, now wamebipa isiyo na tatizo ndo naitumia hapa🙏🙏🙏