Deva
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 1,238
- 1,812
Samsung Galaxy s6 inauzwa bei hiyo hapo juu.
Samsung galaxy s6 imeumbwa kwa body ya glass mbele na nyuma pembeni aluminium, sasa imedondoka na kuvunja kioo cha nyuma, kwa hiyo ninauza ili ninunue nyingine kwa sababu sipendi kupeleka vitu vyangu kwa fungi kufunguliwa, haina tatizo jingine lolote tofauti na hilo.
Ram 3gb
Storage 32 gb
Camera 16 Nyuma 5 Mp mbele
Nipo Mwanza
Mawasiliano 0754995752.
Picha zinakuja ninatafuta simu ya ku ipiga picha maana ndio hii hii ninayotumia kupost hapa.
Samsung galaxy s6 imeumbwa kwa body ya glass mbele na nyuma pembeni aluminium, sasa imedondoka na kuvunja kioo cha nyuma, kwa hiyo ninauza ili ninunue nyingine kwa sababu sipendi kupeleka vitu vyangu kwa fungi kufunguliwa, haina tatizo jingine lolote tofauti na hilo.
Ram 3gb
Storage 32 gb
Camera 16 Nyuma 5 Mp mbele
Nipo Mwanza
Mawasiliano 0754995752.
Picha zinakuja ninatafuta simu ya ku ipiga picha maana ndio hii hii ninayotumia kupost hapa.