SOLD: Samsung Galaxy s6 inauzwa 260000/-

SOLD: Samsung Galaxy s6 inauzwa 260000/-

Status
Not open for further replies.
mkuu nina laki mbili hapa mfuko wa shati nipm tumalize
 
Hahaa mkuu mbona saa yangu brand new kabisa kutoka kwa chinga.
Hiyo saa kwenye tangazo la biashara ndo hiyo kwenye avata yako, mbona kwenye avata umevaa minguo white tupu au unafanya kwa hospitali?
 
Yaani wanajf bwana, mwanzo mwisho hakuna comment yenye kutia moyo....
ni kawaida, hata mleta tangazo na yy hayupo serious!

Hakuwa na haja ya kutuonyesha yote hayo...kila mtu anaona anachotaka kuona.
 
ni kawaida, hata mleta tangazo na yy hayupo serious!

Hakuwa na haja ya kutuonyesha yote hayo...kila mtu anaona anachotaka kuona.
Simu ishauzwa mkuu, maana nilitangaza simu tu sio vitu vingine na wanaohitaji wameshapatikana.

Hayo mengine sio ya muhimu.
 
mm nimeanza kuona ule mchanga pale chini alafu nikaona reflection ya mti na waya za umeme kwenye kioo cha simu![emoji3]
Ila simu yenyewe hukuiona mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom