Mi naanza na saa kisha viatu baadae ndo nita koment kuhusu simuSimu iko fresh...Lakini najua watu watakuja na kuanzisha ligi humu kuhusu hivyo viatu ulivyovaa....
Duh! Biashara za jf zataka moyo mkuuHapo chini naona upo level za kangi lugora..natania tu mkuu
Namsaidia tu kuufanya uzi wake uwe active(utrend)Duh! Biashara za jf zataka moyo mkuu
KwakweliDuh! Biashara za jf zataka moyo mkuu
We mchokoziKucha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mkuu Nimecheka hadi Serengeti imenipalia.Simu iko fresh...Lakini najua watu watakuja na kuanzisha ligi humu kuhusu hivyo viatu ulivyovaa....