mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
Imetumika na touch yake ndio inazingua. Mwenye simu anasikiliza ofa yoyote.
Pia ipo samsung s6 edge..imepasuka kioo.ni ya kuweka display mpya.hiyonaiuza 50k.
Location MWANZA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
S6 hiyo full display ni laki 2Kuweka display tena jaman ni Tsh ngapi
Nambie model ya iyo s7 edge nikupe pesa chapu
G935FNambie model ya iyo s7 edge nikupe pesa chapu
Sio ya wizi maana siku izi polisi wanazitafuta kila mahali simu zilizoibwa mimi nataka unithibitie nikupe pesaG935F
Sio ya wizi mkuu...Sio ya wizi maana siku izi polisi wanazitafuta kila mahali simu zilizoibwa mimi nataka unithibitie nikupe pesa
Kaandikishaneni polisiSio ya wizi maana siku izi polisi wanazitafuta kila mahali simu zilizoibwa mimi nataka unithibitie nikupe pesa
Truly naitak ila mm nipo dar ndo mtihani huo mkuuKaandikishaneni polisi
Nipo dar naipataje na nambie bei yako.Sio ya wizi mkuu...
AiseeeTruly naitak ila mm nipo dar ndo mtihani huo mkuu
Truly naitak ila mm nipo dar ndo mtihani huo mkuu
Nimesoma mkuu na nimeelewa sana cm ipo mwanza ina tatizo la touch na mm nipo dar mm naitaka kama spare nina simu model kama iyo ina tatizo la circuit yani kamera haipigi picha so nitaamishia kioo tu kutoka ktk cm yangu kuweka ktk circuit yake au motherboard au mashine ndo mana nikauliza sio ya wizi mm shida yangu ninunue kama spare kwa ajili ha cm yangu.Soma kwanza maelezo ya mleta mada.
Ili baadae msije mkashikana mashati na kupigana ngumi.
Nimesoma mkuu na nimeelewa sana cm ipo mwanza ina tatizo la touch na mm nipo dar mm naitaka kama spare nina simu model kama iyo ina tatizo la circuit yani kamera haipigi picha so nitaamishia kioo tu kutoka ktk cm yangu kuweka ktk circuit yake au motherboard au mashine ndo mana nikauliza sio ya wizi mm shida yangu ninunue kama spare kwa ajili ha cm yangu.
Hapo ndio mtihani sasa...huna ndugu huku au mtu unayejuana nar vizuri?Nipo dar naipataje na nambie bei yako.
Noma sana ..kma hiyo s6 ipo ndani na boxi lake...yani simu ni laki 3 alafu display laki2..tena hapo walianza laki 2na 50.Bei ya kununua kioo cha Samsung unaweza kununua IPhone 12
Kwa kwel sina mm hofu yangu je ni salama kwa matumizi wasije nitrack mara vuup murder case iyo kama masihara jamaa sijui nampataje ingekuwa hakika ni ya halali wangesafirisha tu ata kwa basi za mwanza.Hapo ndio mtihani sasa...huna ndugu huku au mtu unayejuana nar vizuri?
Ni ya halali mkuu..ni kwamba mtu amenunua simu mpya baada ya hiyo kumzingua.Kwa kwel sina mm hofu yangu je ni salama kwa matumizi wasije nitrack mara vuup murder case iyo kama masihara jamaa sijui nampataje ingekuwa hakika ni ya halali wangesafirisha tu ata kwa basi za mwanza.
Bei ganiNi ya halali mkuu..ni kwamba mtu amenunua simu mpya baada ya hiyo kumzingua.