mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
- Thread starter
- #21
120kBei gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
120kBei gani
Naipataje mkuu una trip ya kuja dar au kuna mtu waweza muagiza aje nayo kama atakuja uku dar120k
Sina hiyo trip mkuu.Naipataje mkuu una trip ya kuja dar au kuna mtu waweza muagiza aje nayo kama atakuja uku dar
Sasa naipataje?Sina hiyo trip mkuu.
Hapo utatuma pesa mkuu simu itumwe kwa bus. Ndio option iliyopo.kama hiyo haifai ungekuwa na ndugu au jamaa huku mwanza aje kuhakikishaSasa naipataje?
Je ukituma simu kwa bus na mimi nikalipa kutakuwa na shida?Hapo utatuma pesa mkuu simu itumwe kwa bus. Ndio option iliyopo.kama hiyo haifai ungekuwa na ndugu au jamaa huku mwanza aje kuhakikisha
Sina mtu dar ningemtumia yeye kisha akutane na wewe mkabidhiane.Je ukituma simu kwa bus na mimi nikalipa kutakuwa na shida?
Tukitumia wenye busSina mtu dar ningemtumia yeye kisha akutane na wewe mkabidhiane.
Kivipi mkuu?Tukitumia wenye bus
Nikupe namba yangu ikitokea umepata mtu unichek any time naitaj iyo cm seriousKivipi mkuu?
Ishu hapa inakuwa ngumu..maana hamna upo mbali na hamna middle man wa kuunganisha hii biashara. At least mmoja wetu angekuwa na mtu. Itakuwa ngumu bila hivyo..maana kila mtu atakuwa na wasiwasi na bidhaa au pesa yake
Nikupe namba yangu ikitokea umepata mtu unichek any time naitaj iyo cm serious
Ni PM mkuuNikupe namba yangu ikitokea umepata mtu unichek any time naitaj iyo cm serious