Loraa sum's
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 260
- 280
Nimeweka contacts hapo nduguHaina specifications?
Ndio maana nimeweka namba kama una nia ya kununua tuwasilianeTuma Codes zake hapa tuichek kama fake au og
Nimeweka contacts hapo ndugu
Wauzaji wa namna hii mara nyingi wanakuwa na vitu ambavyo wanaficha. Kwa nini asiwe muwazi ili watu wajue mali ikoje wapate na muda wa ku-review specification zake?Contact ndio specification????
Wauzaji wa namna hii mara nyingi wanakuwa na vitu ambavyo wanaficha. Kwa nini asiwe muwazi ili watu wajue mali ikoje wapate na muda wa ku-review specification zake?
Wanataka kumuuzia mtu ambaye hana awareness na product ili mradi apate Flat screenWauzaji wa namna hii mara nyingi wanakuwa na vitu ambavyo wanaficha. Kwa nini asiwe muwazi ili watu wajue mali ikoje wapate na muda wa ku-review specification zake?
Basi kaweke hili tangazo lako kwenye hiyo namba yakoNdio maana nimeweka namba kama una nia ya kununua tuwasiliane
Wanataka kumuuzia mtu ambaye hana awareness na product ili mradi apate Flat screen
Mkakaa una kamkono kazuriii
Cc manengelo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Unaumwa ww aisee
Kazi kweli kweli. Anachojua yeye ni inches 49.
Hajua kama Samsung kuna series eg. 5, 7, 8
Hajui kama kuna Smart TV, android TV na za kawaida.
Hasemi kama ina King'amuzi ndani
Kama hajui hayo yote angetaja model number ili wahusika turafute wenyewe mtandaoni