TV4Sale SAMSUNG INCHI 49

TV4Sale SAMSUNG INCHI 49

Loraa sum's

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
260
Reaction score
280
-samsung inchi 49 inauzwa
-imetumika miezi 6 haina tatizo lolote
-ina warranty ya miaka miwili
-nakupa stand ya ukutani pamoja na TV guard bureee
-bei laki nane ( 800,000)
-ipo kimara mwisho
- contact 0712518770.
15618233657400.3755062552816626.jpg
 
Tuma Codes zake hapa tuichek kama fake au og
 
Kazi kweli kweli. Anachojua yeye ni inches 49.

Hajua kama Samsung kuna series eg. 5, 7, 8
Hajui kama kuna Smart TV, android TV na za kawaida.
Hasemi kama ina King'amuzi ndani


Kama hajui hayo yote angetaja model number ili wahusika turafute wenyewe mtandaoni
Wauzaji wa namna hii mara nyingi wanakuwa na vitu ambavyo wanaficha. Kwa nini asiwe muwazi ili watu wajue mali ikoje wapate na muda wa ku-review specification zake?
 
Probably itakuwa a normal LED TV si smart wala 4k...

Tathimini imezingatia ulinganifu wa vitu vingine vinavyoonekana kwenye hiyo ghetto, vipo simple hivyo hata TV itakuwa ya kawaida tu...
Kazi kweli kweli. Anachojua yeye ni inches 49.

Hajua kama Samsung kuna series eg. 5, 7, 8
Hajui kama kuna Smart TV, android TV na za kawaida.
Hasemi kama ina King'amuzi ndani


Kama hajui hayo yote angetaja model number ili wahusika turafute wenyewe mtandaoni
 
Muuza TV nakushauri uoe, hayo Maisha unayoishi ni ya kigheto ghetto sana naona michupa ya pombe chini na vitu haviko katika mpangilio mzuri. Hapo ukioa mke anarekebisha life panakua pazuri sana. Inaonekana hela ya kula unayo ila una mpangilio wa Maisha wa ovyo sana halafu utakuwa unamiliki Paso au IST
 
Back
Top Bottom