Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔-Bei ya jumla 130,000
-Bei ya lejaleja120,000
Boresha tangazo, ina sifa zipi? RAM, Storage n.kHabari wanaJf karibu ujipatie Simu za Samsung j7 prime kutoka china Kwa bei poa kabisa.
-Bei ya jumla 130,000
-Bei ya lejaleja120,000
Napatikana Mwanza Pasiansi
Mawasiliano namba 0672883431
Karibu tujenge uchumi wa nchi yetu pendwa
TANZANIA.View attachment 3055904
View attachment 3055905
View attachment 3055906
Punguza ujuaji kwenye biashara za watu mkuuSimu iliokuwa released almost 10 years ago. Ungezigawa tu kama zawadi.
Masihara masihara unatumia simu ambayo ni ya 1900'sSimu iliokuwa released almost 10 years ago. Ungezigawa tu kama zawadi.
Hata mimi niko na hiyo chuma, yaani imekuwa kama back up kwa kila simu ninayonunua na kuharibika.Haa Simu Za Muda Ila Nzuri
Nina Samsung Galaxy J5 Prime GB 16
Nilinunua Kenya, Nikatumia Nikaichoka Nikaiweka Kabatini
Juzi Nimebadili Battery Nikampa Student Atumie Inapiga Kazi Tu Vema
Chuma Hicho Na Sasa Kinatema Che Che
HIzo simu ziko vizuri sana mkuuHata mimi niko na hiyo chuma, yaani imekuwa kama back up kwa kila simu ninayonunua na kuharibika.
I second your statement 🙏HIzo simu ziko vizuri sana mkuu
Duh hongera mkuu💥I second your statement 🙏
Mimi niko nayo tangu mwaka April 2018
Yaani bei ya Jumla ni ghali kuliko rejareja? Ahya bwanaHabari wanaJf karibu ujipatie Simu za Samsung j7 prime kutoka china Kwa bei poa kabisa.
-Bei ya jumla 130,000
-Bei ya lejaleja120,000
Napatikana Mwanza Pasiansi
Mawasiliano namba 0672883431
Karibu tujenge uchumi wa nchi yetu pendwa
TANZANIA.View attachment 3055904
View attachment 3055905
View attachment 3055906
Haa Simu Za Muda Ila Nzuri
Nina Samsung Galaxy J5 Prime GB 16
Nilinunua Kenya, Nikatumia Nikaichoka Nikaiweka Kabatini
Juzi Nimebadili Battery Nikampa Student Atumie Inapiga Kazi Tu Vema
Chuma Hicho Na Sasa Kinatema Che Che