Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,143
Lete 240k tufanye biasharaUkiwa tayari nistue nikupe 70
Mm nilinunua laki 6 na nusu hiyo mwaka mmoja uliopitaWatanzania wengine huwa hamtumii akili... Simu iliyotengenezwa kiwandani mwaka 2015 unauza 280K!??...
Kitu gani kinaifanya iwe na bei kubwa wakati miaka imepita sana mkuu..?Mm nilinunua laki 6 na nusu hiyo mwaka mmoja uliopita
Kwa hio hela napata camon 16s usedLete 240k tufanye biashara
Huyo muhindi alipigwa, bila aibu anajieleza alivyoingizwa mkenge. Hakuna mjanja atanunua J7 hata kwa laki 2. Hata iwe imetumika ulaya. Toleo la 2015 humuuzii mjanja yoyote hata laki 2.Kitu gani kinaifanya iwe na bei kubwa wakati miaka imepita sana mkuu..?