Phone4Sale Samsung J7 PRO: 280k only

Phone4Sale Samsung J7 PRO: 280k only

Royal Warrior

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
1,166
Reaction score
2,143
Habari zenu wapendwa,

Leo nawaletea offer nzuri kabisa.

Nauza Samsung Galaxy J7 PRO kwa bei sawa na bure kabisa.. inahitajika 280,000/= tu.

Naiuza kwa sababu nimepata simu nyingine hivyo hii haina kazi kwa sasa.

Napatikana Dar es salaam.

Njoo Pm kwa mawasiliano au weka namba yako kwenye comment nikutafute.

Karibuni sana.


20210602_132440.jpg
 
Watanzania wengine huwa hamtumii akili... Simu iliyotengenezwa kiwandani mwaka 2015 unauza 280K!??...
 
Back
Top Bottom