Samsung yaachia Operating system update Andorid 12 kwa simu S21 Ultra

Samsung yaachia Operating system update Andorid 12 kwa simu S21 Ultra

huwa tunawaambia humu kuwa brand za simu ni 2 tu yaani samsung& iphone12&13 tu[emoji23][emoji23] hayo mengine ni mamikebe ya kutunzia laini[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
iPhone hata za chini mostly huwa zinapata updates...acha zako kwahiyo iPhone 11 nayo ni Mkebe? kuna brands kama.. one plus, vivo high-end kibao ziko vizuri na kuna latest Google pixel, inaonekana hujui unachosema

*Mda mwingine ni bora kubaki kimya ili usijiaibishe kuwa ni wa kiwaki
Achana na Hawa watoto wanaookota ubishi wa vijiweni na Kuja nao majukwaa ya wakubwa. Hawa ndo wale wanajua kila mwanaume anayefanya kazi hosp ni dokta na mwanamke ni nesi!
 
Achana na Hawa watoto wanaookota ubishi wa vijiweni na Kuja nao majukwaa ya wakubwa. Hawa ndo wale wanajua kila mwanaume anayefanya kazi hosp ni dokta na mwanamke ni nesi!

Eeh wadau wa stereotypes
 
Achana na Hawa watoto wanaookota ubishi wa vijiweni na Kuja nao majukwaa ya wakubwa. Hawa ndo wale wanajua kila mwanaume anayefanya kazi hosp ni dokta na mwanamke ni nesi!

hapana jamani,tuwe wakweli tu[emoji1787][emoji1787]

umesoma hints za 15 updates,
wanasema ni kuondoa bugs kwa iphone 12 na 13[emoji1787][emoji1787]yaani nyingine wameshazitoa kwenye bajeti ya mboga.
jokes msiniue,
kwa iphone hata kama una 7 saa hizi wala hujapoteza.nina 6s hapa nakula raha tu.
 
Kampuni ya Samsung wameachia updates ya os ya Android 12 ama UI 4 kuanzia tarehe 15 mwezi huu kwa simu za Samsung Galaxy S21 Ultra. Ila hii updates ilianzia huko Marekani, Ulaya na Korea Kusini kwenyewe.

Naona kadri siku zinavyoenda inasambaa kwa mataifa mengine. Leo mimi simu yangu imepata update kwenda UI 4. Wale wenye simu za S21 mnaweza kuangalia updates kama zimefika kwenu.
View attachment 2015210


Kwamba una update without MB/GB za akina tigo makato?
 
Camon 17 Pro ni android 11 mbona?
Mkuu hiyo Camon 17 pro ni ya mwaka huu mimi nilikuwa naulizia kuhusu hii Phantom 6 🏃🏃🏃
tecno-mobile-phantom6-1.jpg
 
Nani anaweza kunisaidia hii refurb ya SM-G986U (Samsung Galaxy S20 plus 5G)ipate update nimeinunua ikiwa imeganda na android 10 na inagoma kuupdate hadi security patches wataalam nisaidieni.....angalia picha za chini hapa
Screenshot_20211208-230607_Settings.jpg
Screenshot_20211208-230220_Settings.jpg
 
Naona leo Samsung Note 20 5G imenipa option ya update Android 12, ngoja nidownload.

Nina Note 10+ sioni dalili ya kupata Android 12 hii ni ile kwenye yale maduka ya Kijitonyama, ilikuwa na Andoid 10 nadhani mwezi uliopita ikabidi nii-update kwenda Android 11 kupitia website ya Sam. Ila kwa leo ikijaribu ina search muda mrefu, labda nayo itakuja kukubali ngoja niendelee kusubiria.

IMG-20220109-WA0000.jpg
 
Hatumaye nimefanikwa kufanya manual instalkation ya android 12 by odin asanteni sana kwa ambao mlionyesha njia inbox na kushare link za how to ...
Screenshot_20220130-080747_Settings.jpg
 
Back
Top Bottom