[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huwa tunawaambia humu kuwa brand za simu ni 2 tu yaani samsung& iphone12&13 tu[emoji23][emoji23] hayo mengine ni mamikebe ya kutunzia laini[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Infinix ni nini?
Achana na Hawa watoto wanaookota ubishi wa vijiweni na Kuja nao majukwaa ya wakubwa. Hawa ndo wale wanajua kila mwanaume anayefanya kazi hosp ni dokta na mwanamke ni nesi!iPhone hata za chini mostly huwa zinapata updates...acha zako kwahiyo iPhone 11 nayo ni Mkebe? kuna brands kama.. one plus, vivo high-end kibao ziko vizuri na kuna latest Google pixel, inaonekana hujui unachosema
*Mda mwingine ni bora kubaki kimya ili usijiaibishe kuwa ni wa kiwaki
Achana na Hawa watoto wanaookota ubishi wa vijiweni na Kuja nao majukwaa ya wakubwa. Hawa ndo wale wanajua kila mwanaume anayefanya kazi hosp ni dokta na mwanamke ni nesi!
Achana na Hawa watoto wanaookota ubishi wa vijiweni na Kuja nao majukwaa ya wakubwa. Hawa ndo wale wanajua kila mwanaume anayefanya kazi hosp ni dokta na mwanamke ni nesi!
Mkuu uko na gugo pixel ipi hebu niambie ni feature zipi zimeongezekagoogle pixel sisi tangu mwezi wa 10 πππ
Kampuni ya Samsung wameachia updates ya os ya Android 12 ama UI 4 kuanzia tarehe 15 mwezi huu kwa simu za Samsung Galaxy S21 Ultra. Ila hii updates ilianzia huko Marekani, Ulaya na Korea Kusini kwenyewe.
Naona kadri siku zinavyoenda inasambaa kwa mataifa mengine. Leo mimi simu yangu imepata update kwenda UI 4. Wale wenye simu za S21 mnaweza kuangalia updates kama zimefika kwenu.
View attachment 2015210
Samsung officially starts rolling out One UI 4 with Android 12 for the Galaxy S21 family
After weeks of beta testing, the finalized version is now going out. Over the past few weeks Samsung has been testing the update to One UI 4 based on...www.gsmarena.com
Na ndio maana ni gharama ila wengi hawalioni hilo wanajitia upofu.Apple ni mzuri kwa hilo. Simu inakula update mpaka inataka kutapika.
Mkuu uko na gugo pixel ipi hebu niambie ni feature zipi zimeongezeka
Nimeona labda homescreen imebadilika meseji popup sema features nyingi sijapatiliza. Camera zoom imeongezekaMkuu uko na gugo pixel ipi hebu niambie ni feature zipi zimeongezeka
Camon 17 Pro ni android 11 mbona?Duh sisi wenye tecno phantom sijui hata update itakuja lini ndio kwanza nipo kwenye android 6.0[emoji205]
Mkuu hiyo Camon 17 pro ni ya mwaka huu mimi nilikuwa naulizia kuhusu hii Phantom 6 πππCamon 17 Pro ni android 11 mbona?
Tecno za zamani hazinaga kuaupgrade android version, so huo mchongo utaganda hapo hapo kama mke wa RutuMkuu hiyo Camon 17 pro ni ya mwaka huu mimi nilikuwa naulizia kuhusu hii Phantom 6 [emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 2020136