Samuel Jackson agoma kuhama Marekani baada ya Donald Trump kushinda urais

Samuel Jackson agoma kuhama Marekani baada ya Donald Trump kushinda urais

Kilikuwa ni kiapo cha mlevi tu, km kawaida hawaachi kujitetea, TB Joshua naye kaja na yake baada ya kutabiti isivyo!!!
 
Kilikuwa ni kiapo cha mlevi tu, km kawaida hawaachi kujitetea, TB Joshua naye kaja na yake baada ya kutabiti isivyo!!!
Hahaha
Trump nime mnyooshea mikono
Walimpinga
Ukoo wote Bush
Ukoo wote wa Clintom
Wasanii
Rais Obama
Vyombo vya habaro karubi vyote
TB Joshua

Jamaa bado kashinda huyu mti siyo wa spot spot
 
Je, mnajua Robert Mugabe amesema nini juu ya Trump?

Imefika wakati Mzungu akimtukana na kumdhalilisha Mwafrika imekuwa kama kawaida.
Hili sio suala la kuzoea au kuona ni kawaida. Ni mtu mtumwa tuu ndio atazoea "kunyanyaswa".
Damu na jasho ziko tayari dunia nzima kupinga Ubaguzi na Unyanyaswaji. Tumeona harakati hizi enzi za Ukoloni. Na zitarudi tuu kama sio kizazi hiki, kizazi kinachokuja.
Haki za Watu weusi, zitarudi tuu.
Watu weusi, Ni viumbe ambavyo Mungu anavipenda.
 
Ahahahahaaaa....wengine tulijua tu.

Hii si mara ya kwanza hao watu maarufu kusema watahama Marekani kisa fulani akichauliwa kuwa rais.

Hata 2004 wapo waliodai kuwa wataihama Marekani endapo George W. angechaguliwa tena kuwa rais wa Marekani lakini baada ya uchaguzi hakuna aliyehama.

Huwa wanabipu tu hao.

Nani ahame Marekani wakati Marekani ndo taifa bora kabisa kuweza kutokea katika historia ya uhai?
 
dah kwel marekani kuna uhuru hadi raha yani izo mitus zimeandikwa kumuhusu rais na kawaida tu... ingekua kwa anko magu sahv mtu angekuwa segerea na sare kapewa.....
 
Hahaha
Trump nime mnyooshea mikono
Walimpinga
Ukoo wote Bush
Ukoo wote wa Clintom
Wasanii
Rais Obama
Vyombo vya habaro karubi vyote
TB Joshua

Jamaa bado kashinda huyu mti siyo wa spot spot
Satanic at works
 
Ahadi ni deni – muigizaji mkongwe wa Marekani, Samuel L. Jackson ameonekana kuipinga ahadi yake aliyowahi kuitoa kuwa atahamia Afrika Kusini endapo Donald Trump atateuliwa kuwa Rais wa nchi hiyo.
Kupitia mitandao yake ya kijamii, Jackson aliandika, “If that motherf- -ker becomes president, I will move my black ass to South Africa.”

Hatimaye muigizaji huyo amekuja na ujumbe mpya kupitia mtandao wake wa Twitter, ameandika, “Why y’all so anxious for me to leave?! I pay More Taxes than All U Trumpafukkaz… Him too!!.”

Trump alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani Jumatano ya Novemba 9, kwa kushinda majimbo ya uchaguzi 276 huku Clinton akishinda 218.
x14701308_604888156339149_7873285733492981760_n.jpg.pagespeed.ic.imumSthRQF.jpg
Teh teh teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ah kiboko
 
Back
Top Bottom