yule zirooo tu hamna kitu mule una tangaza kwenye tv kama unanong'oneza!!! yuko slow sana. Tunasubiri Tv1 ifanye mapinduzimbaya zaidi anajionaga handsome yule pimbi na kichwa chake cha kuku kishingo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yule zirooo tu hamna kitu mule una tangaza kwenye tv kama unanong'oneza!!! yuko slow sana. Tunasubiri Tv1 ifanye mapinduzimbaya zaidi anajionaga handsome yule pimbi na kichwa chake cha kuku kishingo
mbaya zaidi anajionaga handsome yule pimbi na kichwa chake cha kuku kishingo
mbaya zaidi anajionaga handsome yule pimbi na kichwa chake cha kuku kishingo
Hii ya ms au wapiDuh, samahani sikujuwa kama njia hii ningetokea hapa Toto Junction.......kwaheri!
..Wewe ni nani kati ya hao uliowataja??!!
Misago anaongea kiingereza fasaha kuliko Hamisi Mandi...
alkiuwa mtangazaji mmoja wa Ebony Iringa anaitwa Edo huyu jamaasijui siku hizi kaishia wapi,ila ni mkali balaa halfu haigi swaga za mtu
Misago anaongea kiingereza fasaha kuliko Hamisi Mandi...
Kingereza cha b12 wal do wal do wal does you know what it is,we in the building hapo ukimwambia aendelee kdg utaona huruma...Niliskia siku moja Mchomvu anaripot hbr ya kifo kisha anasema we wish him to rest in peace,alafu dozen kwa mbaaali anachombeza oh yeah ....dah yani niliskia noma utafikiri nimeharibu mimi
Dullah Anamcopy Adam
watangazaji wengi wa Eatv wana shule kuliko wa clouds