Samuel Sitta avamia instagram kuwafikia vijana

Samuel Sitta avamia instagram kuwafikia vijana

Lowassa anatembea dizain ya mtu mwwnye kiharusi au kishipa hivi....ila uyu sita migulubaja si kiseng utafikiri mtoto anayejifunza kucheza reggae

Kumbe labda mtembeo wa kisasa
 
Hivi uyu Sitta ni kiwete au mie nilimuona live majuzi hapa akitembea nikabaki nashangaa miguu ile sio kawaida.

Ana miaka zaidi ya 80 lazima atembee hivyo.alikua waziri toka enzi za mchonga huyo babu..anaenda insta na mkongoja! vizee vya siku hizi bwana eti awe karibu na masista duu! hovyoo
 
Lowassa anatembea dizain ya mtu mwwnye kiharusi au kishipa hivi....ila uyu sita migulubaja si kiseng utafikiri mtoto anayejifunza kucheza reggae

Alijipiga juju na katiba yake feki, bado kufa tu
 
Waje warudishe kodi zetu,,Lowasa nae aje atupe vikodi vyetu alivyoiba.
 
Six amejishushia heshima kwa kupuuza Rasimu ya wananchi,, ajichukulie posho za BMK na asidhubutu kugombea kwani ameshawapuuza anaotegemea kumchagua.

Hao ni wananchi gani unao wazungumzia?
 
Mzee anapojihusisha na mambo ya watoto haikuji
 
Back
Top Bottom