Ila wewe jamaa mtu wa fix kinoma.Mimi nai ni mwenyeji sanaa.
Ha ha ha !
Afu totoz za kule tam balaa.
(Inna usisome hii post)
Hahaha yanii mwenzio kakutetea sa zile sahv unajifanya kumkandiaMim usinifananishe na razor au mo max daby.
Humu kila mtu anajua kuwa inna ni wa nani. Au ivuga yupo na nani.
Sasa kaukize kuhusu jiran yako ndio utajuata
Wewe mwache tu...Hahaha yanii mwenzio kakutetea sa zile sahv unajifanya kumkandia
[emoji134] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] you guys mtanivunja mbavu mmIla wewe jamaa mtu wa fix kinoma.
Mara useme wewe wa mirerani
Mara upo east Europe
Mara Nai
Mara Dar.... haha mara umeenda club na usd 1000 hahaha
Mtakatifuu anafix saana. Nimemshindwa itabidi nimgawe kwako huyu ndugu yangu[emoji134] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] you guys mtanivunja mbavu mm
Be blessed!! Sa hv tushapata shosti wa Kenya inshallah Mungu akijaalia utakua mwenyeji wetu ntakuja na Saint Ivuga mzee wa matotoz mwnyew[emoji23] [emoji23] jus kiddng mtakatifu!Natanguliza shukrani kwenyu mashemeji wangu wabongo pamoja na wakenya ,nimeshukuru sana kwa mchango wenyu kwenye uzi huu wangu.
Ni nafuraha isiyo na kifani leo hii kwa kuliweka rekodi hili langu la binafsi
Namshukuru Daby kwa kunipa sapoti
Namshukuru pugu mdoli wangu kwa kunipa motisha
Namshukuru Mungu kwa afya na uhai
Namshukuru mwanzilishi wa JF Max Mello pamoja na wenzake kwa kuileta JF
Namshukuru yule mhuni aliyenitania kwa ukatili wake kwangu
Nawashukuru wabishi wa humu kwa kunipa nguvu za kuwajibu
Nawashukuru wabongo wote
Nawashukuru wakenya wote
Namshukuru Mwanasesere wangu
Namshukuru Bill Gates mwanzilishi wa Google
Namshukuru mwanzilishi wa lugha
Namshukuru mvumbuzi wa umeme
Namshukuru Inna kwa upole wake kwangu
Namshukuru espy kwa uwazi wake kwangu
Namshukuru Icono kwa ukakasi wake
Namshukuru saint Ivuga kwa kutia nanga kwenye uzi wangu
Namshukuru mcheshi na mtundu wa mjini kilam kwa kunijazia uzi
Naona nimehitimisha kurasa kumi.
Mungu awabariki sana
Daby Bongobaby keep it rolling,nashukuru sana.
Masalkheri!
Ndo nshasoma hvoooMimi nai ni mwenyeji sanaa.
Ha ha ha !
Afu totoz za kule tam balaa.
(Inna usisome hii post)
Tumgawe kwa kasie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtakatifuu anafix saana. Nimemshindwa itabidi nimgawe kwako huyu ndugu yangu
Halafu wewe jirani wewe. Nitakununia ohooTumgawe kwa kasie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji87] [emoji87] [emoji87] me nshasahau kasie ni wakoHalafu wewe jirani wewe. Nitakununia ohoo
Turudi Tz Tim akija tutarudi[emoji87] [emoji87] [emoji87] me nshasahau kasie ni wako
Nsamehe jiran
PoaTurudi Tz Tim akija tutarudi
Hehee, like ze way I zoomed mr kennedy, inatisha sana kutrust too much joh, you can get yourself killed.Leo nimezoom, kuangalia hiyo profile picture yako kwa ukaribu. Inatisha joh!
Hehehe!! @Samueli999 huibuka mara moja moja, atakua anatafuta wadhifa wa MCA au ubunge pale Nakuru. Naomba asiwe ametupwa jela kama yule Mtanzana alikua anajiita Askari ambaye nashuku alikua jela maana alipiga kimya kwa muda mrefu akaja kuibuka juzi baada ya Magufuli kuwaachia huru wafungwa kwenye sherehe zao za muungano.
mkuu Askari Kanzu njoo uone wakenya wanakusengenya.[emoji23] [emoji23]Kumbe alikamatwa?.....😱😱!...mamaweee!....huenda ameshibishwa mahalage za hapo Lupango, keshashiba huyo sawasawa.....pole zake kikanzu, kumbe?...😀mmh!
Yani inna unataka kunigawa. Umenichoka hivii kumbeeeTumgawe kwa kasie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi unaweza kuninasibisha na nini?Pia yawezekana iwe ni wewe kweli maanake, kwenye ile ID nyingine una nambari 999 tatu hivi kama sijakosea, kwa hili pia una nambari 666 , kwa kifupi hulka na tabia ya kiumbe ni rahisi kuisoma na kuijua.
Wewe utakua unapenda nambaz hivi kama codes tukichunguza kwa makini...hilo tu laweza nipa kiburi cha kuamini kua ni wewe kweli.
hakuna jokes kwenye uhai wa mtu.Joking though
Kweli yote hayo.Ila wewe jamaa mtu wa fix kinoma.
Mara useme wewe wa mirerani
Mara upo east Europe
Mara Nai
Mara Dar.... haha mara umeenda club na usd 1000 hahaha