samuel999 yupo wapi?

samuel999 yupo wapi?

Yes.
Wengi kiswahili kigumu kwao.
Nashangaa wewe nani kakufundisha kiswahili fasaha hivi?

Kwa kweli ni mtandao huu wa JAMII FORUMS kaka.
Tangu nilipoigundua JF,nimejiongeza sana kwenye swala la lugha fasaha ya Kiswahili.
Nyinyi wakuu ndiyo mmepelekea nilijue lugha tena niwe na kaujasiri nako,sikuwa na ujasiri wa kuandika kwa Kiswahili hapo awali.
Nakumbuka nikizisoma mada humu nikipita kimyakimya. Nilikua na ashki ya kuzijibu hoja,mawazo yangu yakiwa mazuri tu tena yenye tija kisa tatizo la lugha.
Nikaanza kuwasoma wabongo pamoja na kaka mkuu MK254,polepole nikazifahamu ngeli na mipangilio ya sentensi na kadhalika.
Hata hivyo sijafikia kiwango cha umahiri lakini nawashukuru sana wakuu,bila shaka mui huwa mwema.
Sitawahi isahau JF abadan!
 
Kwa kweli ni mtandao huu wa JAMII FORUMS kaka.
Tangu nilipoigundua JF,nimejiongeza sana kwenye swala la lugha fasaha ya Kiswahili.
Nyinyi wakuu ndiyo mmepelekea nilijue lugha tena niwe na kaujasiri nako,sikuwa na ujasiri wa kuandika kwa Kiswahili hapo awali.
Nakumbuka nikizisoma mada humu nikipita kimyakimya. Nilikua na ashki ya kuzijibu hoja,mawazo yangu yakiwa mazuri tu tena yenye tija kisa tatizo la lugha.
Nikaanza kuwasoma wabongo pamoja na kaka mkuu MK254,polepole nikazifahamu ngeli na mipangilio ya sentensi na kadhalika.
Hata hivyo sijafikia kiwango cha umahiri lakini nawashukuru sana wakuu,bila shaka mui huwa mwema.
Sitawahi isahau JF abadan!
Hewaaala.
Fuata nyuki ule asali.
 
Tim ni zaidi ya rafiki yangu. Kadri siku zinavyodi kwenda utambulisho mwingine nitaku update
Tangu huu mwaka uanze nishatambulishwa mawifi wanafikia 30 sasa, juzi tu nimeambiwa Kasie ni wifi yangu, sijakaa sawa natambulishwa tena. Sasa mdogo wangu hii tuseme ni balehe ilopitiliza wakati au ni nini hiki?

Mie naomba pale utakapokuwa serious kutuletea wifi nyumbani ndio unitambulishe, haya mengine naomba nisiyashiriki tusijeonekana familia nzima ndio wale waleeeee!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyuzi za wakenya kuzielewa mayb ziandikwe kwa kiingereza. Ndio maana hata huwa sipiti huku.
Ngoja nami niache kupita hii njia aiseeeee..... Maana ipo siku nitakuja aibika
 
Tangu huu mwaka uanze nishatambulishwa mawifi wanafikia 30 sasa, juzi tu nimeambiwa Kasie ni wifi yangu, sijakaa sawa natambulishwa tena. Sasa mdogo wangu hii tuseme ni balehe ilopitiliza wakati au ni nini hiki?

Mie naomba pale utakapokuwa serious kutuletea wifi nyumbani ndio unitambulishe, haya mengine naomba nisiyashiriki tusijeonekana familia nzima ndio wale waleeeee!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sasa sister kuna sehemu nimetaja wifi mimi?mbona unaniombea mabaya kaka yako? Walai wewe sitaongozana na wewe tena hata siku moja.

(Jokings)
 
Sasa sister kuna sehemu nimetaja wifi mimi?mbona unaniombea mabaya kaka yako? Walai wewe sitaongozana na wewe tena hata siku moja.

(Jokings)
Ukiongozana na mimi si unajua balaa lake eeh!!
 
Ohooooo........[emoji15] [emoji15]
Unaona sasa comrade...[emoji13] [emoji13]
Ebu huyu niachie aiseeeeee....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ohooooo........[emoji15] [emoji15]
Unaona sasa comrade...[emoji13] [emoji13]
Ebu huyu niachie aiseeeeee....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Comrade tudumisheni ujirani mwema bwana sio kila siku

Nairobi vs Dar es salaam. Ila mbona wapo wengi tu angaaangalia bwana
 
Tangu huu mwaka uanze nishatambulishwa mawifi wanafikia 30 sasa, juzi tu nimeambiwa Kasie ni wifi yangu, sijakaa sawa natambulishwa tena. Sasa mdogo wangu hii tuseme ni balehe ilopitiliza wakati au ni nini hiki?

Mie naomba pale utakapokuwa serious kutuletea wifi nyumbani ndio unitambulishe, haya mengine naomba nisiyashiriki tusijeonekana familia nzima ndio wale waleeeee!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Kumbe?!...mmh!..wacha tu basi,inaonekana mie nitakuwa wa 31 sasa,dah!...🙄🙄😱...silent killer kweli.
 
Comrade tudumisheni ujirani mwema bwana sio kila siku

Nairobi vs Dar es salaam. Ila mbona wapo wengi tu angaaangalia bwana
Basi sawa amigo, mingoja niende nikatete nae kule pm...[emoji5] [emoji5]
 
Kwa kweli ni mtandao huu wa JAMII FORUMS kaka.
Tangu nilipoigundua JF,nimejiongeza sana kwenye swala la lugha fasaha ya Kiswahili.
Nyinyi wakuu ndiyo mmepelekea nilijue lugha tena niwe na kaujasiri nako,sikuwa na ujasiri wa kuandika kwa Kiswahili hapo awali.
Nakumbuka nikizisoma mada humu nikipita kimyakimya. Nilikua na ashki ya kuzijibu hoja,mawazo yangu yakiwa mazuri tu tena yenye tija kisa tatizo la lugha.
Nikaanza kuwasoma wabongo pamoja na kaka mkuu MK254,polepole nikazifahamu ngeli na mipangilio ya sentensi na kadhalika.
Hata hivyo sijafikia kiwango cha umahiri lakini nawashukuru sana wakuu,bila shaka mui huwa mwema.
Sitawahi isahau JF abadan!
Hongeraa
 
Back
Top Bottom