Haha.. kama kinywa bado kipo wazi kizibe [emoji16][emoji16]Heheheh!...aliniacha kinywa wazi!..π
Wacha tumsaidie kufikisha 1k mkuu kilam
Hehe nimekuweka kapuni vipi kumbe taarifa zako hadi wakenya wanazijuaInna ujue unachokifanya sio fair hata kidogo?
Vipi kuniweka kapuni?
Siku ya nne leo kimyaaa.
Au unadhani nna moyo wa chuma?
[emoji4]Pata bonge la like,kweli weye wa kwangu kabisaa,upo imara kwenye rada yangu.
Wifi yako huyo ujue. Si unamjua jirani yako haruki kituHongeraa
Khaaa we leo ni wa kumtetea?
Kashangaa nini?Hehe nikuweka kapuni vipi kume taarifa zako hadi wakenya wanazijua
Cheki apo hadi tim choice anakushangaa
These guys they know each other.Kuna mkaka anakulalamikia hapo chini sijui kinachoendelea jamani
...π
Ohoo we tazama tu utaelewa kinachoendeleaKuna mkaka anakulalamikia hapo chini sijui kinachoendelea jamani
...π
[emoji4]
Ila utani wetu ukizidi kwenye uzi wako useme Tim unahaki.
Tim nisaidie kumuelewesha huyu mrembo akipendwa apendekee asiruke ruke mi hadi nataka kulia.Kuna mkaka anakulalamikia hapo chini sijui kinachoendelea jamani
...π
These guys they know each other.
Sasa mmoja kabambwa na stori ya aliyoyafanya huko Nairobi halafu Bibi hajui
Haha... kweli?Sina wasiwasi ,natamani kizidi kiwango kilichowahitokea jf,ningependa hata ifikie kiwango cha uzi kufutwa ikiwezekana mtandao uvunjikeπDππ)
Tim nisaidie kumuelewesha huyu mrembo akipendwa apendekee asiruke ruke mi hadi nataka kulia.
Mpe mistari ya nairobi labda ataelewaa
Ye mwenyewe lazima ana stori ila kama msichana si ruhusa ku tell . Labda miss chagga na natafutaThese guys they know each other.
Sasa mmoja kabambwa na stori ya aliyoyafanya huko Nairobi halafu Bibi hajui
Haha... kweli?
Hapo itabidi tusiende hata kukojoa tukeshe tu hapa.
Hutaki kukojoza?Haha... kweli?
Hapo itabidi tusiende hata kukojoa tukeshe tu hapa.
Jirani yangu anapenda kudekezwa fanya kumdekezaYe mwenyewe lazima ana stori ila kama msichana si ruhusa ku tell . Labda miss chagga na natafuta
Ohoo we tazama tu utaelewa kinachoendelea