samuel999 yupo wapi?

Inna ujue unachokifanya sio fair hata kidogo?
Vipi kuniweka kapuni?
Siku ya nne leo kimyaaa.
Au unadhani nna moyo wa chuma?
Hehe nimekuweka kapuni vipi kumbe taarifa zako hadi wakenya wanazijua
Cheki apo hadi tim choice anakushangaa
 
[emoji4]
Ila utani wetu ukizidi kwenye uzi wako useme Tim unahaki.

Sina wasiwasi ,natamani kizidi kiwango kilichowahitokea jf,ningependa hata ifikie kiwango cha uzi kufutwa ikiwezekana mtandao uvunjikeπŸ™‚DπŸ˜€πŸ˜€)
 
These guys they know each other.
Sasa mmoja kabambwa na stori ya aliyoyafanya huko Nairobi halafu Bibi hajui

Hahahaha!...ndio maana huwa nakuambia nyie wabongo mna mambo!...waTz wataniua maskini mie!
 
Sina wasiwasi ,natamani kizidi kiwango kilichowahitokea jf,ningependa hata ifikie kiwango cha uzi kufutwa ikiwezekana mtandao uvunjikeπŸ™‚DπŸ˜€πŸ˜€)
Haha... kweli?
Hapo itabidi tusiende hata kukojoa tukeshe tu hapa.
 
These guys they know each other.
Sasa mmoja kabambwa na stori ya aliyoyafanya huko Nairobi halafu Bibi hajui
Ye mwenyewe lazima ana stori ila kama msichana si ruhusa ku tell . Labda miss chagga na natafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…