Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,346
Ni kweli Kificho ni mwenyekiti wa muda ila ndio huyo huyo atakaye pita kama mwenyekiti wa kudumu.
Ivi umepiga mswaki leo ulipoamka?
Yeye atakua ni mwongozaji ktk kupatikana mwenyekiti wa kudumu, halafu yeye yeye awe ni mgombea!
Embu shirikisha ubongo unapotoa porojo lako!
...
Anyway, tusiandikie mate!