Samwel Sita, speaker mtarajiwa bunge la katiba

Ni kweli Kificho ni mwenyekiti wa muda ila ndio huyo huyo atakaye pita kama mwenyekiti wa kudumu.

Ivi umepiga mswaki leo ulipoamka?
Yeye atakua ni mwongozaji ktk kupatikana mwenyekiti wa kudumu, halafu yeye yeye awe ni mgombea!
Embu shirikisha ubongo unapotoa porojo lako!
...
Anyway, tusiandikie mate!
 
Ivi umepiga mswaki leo ulipoamka?
Yeye atakua ni mwongozaji ktk kupatikana mwenyekiti wa kudumu, halafu yeye yeye awe ni mgombea!
Embu shirikisha ubongo unapotoa porojo lako!
...
Anyway, tusiandikie mate!

Kijana jenga uwezo wa kujenga hoja itakusaidia siku za usoni naamini bado umri wako ni mdogo hivyo unapaswa kuweka fikra zako kuwa chanya.

Usipende kumshambulia mtoa hoja jenga uwezo wa kuishambulia hoja kwa kutoa point zenye mashiko. Usisite kunitafuta ukitaka kubadilika kutoka katika mtazamo hasi kwenda chanya. Naamini bado taifa linahitaji mchango wako.
 

Sorry kwa hilo!
Ila nawe umbishi sana, unajua kuna vitu viko wazi sana, lakini wewe unacomlicate!
...
Tusubirie Mkuu.
 
Ivi umepiga mswaki leo ulipoamka?
Yeye atakua ni mwongozaji ktk kupatikana mwenyekiti wa kudumu, halafu yeye yeye awe ni mgombea!
Embu shirikisha ubongo unapotoa porojo lako!
...
Anyway, tusiandikie mate!
Ndg Kashilila anatamani sana Mwenyekiti atoke Visiwani ili yeye aukwae ukatibu.
 
Ndg Kashilila anatamani sana Mwenyekiti atoke Visiwani ili yeye aukwae ukatibu.

Kashilila atasubiri sana, mjini mipango!
Wale kumchagua kificho pale wameangalia mbali sana!
Hem fikiria, Mwenyekiti wa muda asingekuwa Mzanzibari, jee Mwenyekiti wa kudumu angekuwa?
...
Kiufupi mwenyeki wa kudumu hatakiwi kuwa mzanzibar kwa sababu za kitaaluma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…