azerbaijan
New Member
- Jul 4, 2015
- 4
- 1
Sijui aliyesema lakini ni maneno ya busara sana. Kasema nini aliyesema? Kasipo na wivu hapana mapenzi!!!
Mbona nasema haya? kila kukicha naangalia pandashuka za wasanii wa mji wangu wa Malindi huku nikilinganisha na wasanii wa mji mingine. Ni kama tunaonewa.
Hii ni safari, nianza leo na kila siku nitakuwa na story au kisa ya hali ya pilkapilka tofauti kuhusu sanaa na wasanii wa mji wa malindi kenya
Nitakuwa nikishirikiana kwa karibu na tovuti fulani mji humo iitwayo malindians kwa picha na habari zaidi kuhusu mji huo.
Mbona nasema haya? kila kukicha naangalia pandashuka za wasanii wa mji wangu wa Malindi huku nikilinganisha na wasanii wa mji mingine. Ni kama tunaonewa.
Hii ni safari, nianza leo na kila siku nitakuwa na story au kisa ya hali ya pilkapilka tofauti kuhusu sanaa na wasanii wa mji wa malindi kenya
Nitakuwa nikishirikiana kwa karibu na tovuti fulani mji humo iitwayo malindians kwa picha na habari zaidi kuhusu mji huo.