Sanamu ya Baba wa Taifa yavunjwa na kuharibiwa Tabora, msako waanza.

Sanamu ya Baba wa Taifa yavunjwa na kuharibiwa Tabora, msako waanza.

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Katika Hali isiyo ya kawaida watu wasiofahamika wameivunja na kuharibu sanamu ya Baba wa Taifa mwalimu Nyerere iliyopo katika kituo cha wanafunzi " student center" eneo la nje . Serikali imesema tayari vyombo vya Dola vimeingia mtani kuwasaka wahusika wa tukio hilo na nia Yao.
Screenshot_20240921-224725_1.jpg
 
Katika Hali isiyo ya kawaida watu wasiofahamika wameivunja na kuharibu sanamu ya Baba wa Taifa mwalimu Nyerere iliyopo katika kituo cha wanafunzi " student center" eneo la nje . Serikali imesema tayari vyombo vya Dola vimeingia mtani kuwasaka wahusika wa tukio hilo na nia Yao.
View attachment 3102499
Sanamu tuu msako na watapatikana ila wanaouwa na kuteka upelelezi unaendelea..... Kipimo cha akili
 
Kwa hawa watawala wenye akili za zama za mawe walioingia Kwa wizi wa kura , sanamu la mtu aliyekufa ni muhimu kuliko uhai wa mtanzania
 
Back
Top Bottom