Sanamu ya Baba wa Taifa yavunjwa na kuharibiwa Tabora, msako waanza.

Sanamu tuu msako na watapatikana ila wanaouwa na kuteka upelelezi unaendelea..... Kipimo cha akili
 
Kwa hawa watawala wenye akili za zama za mawe walioingia Kwa wizi wa kura , sanamu la mtu aliyekufa ni muhimu kuliko uhai wa mtanzania
 
Baba wa Taifa gani huyo, hio statute ni fake na ya hovyo huyo sio Julius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…