Nimekueleza "elimination method" hapo juu, umeielewa?1.hujui chanzo cha dunia
2.Mungu akuumba dunia
Swali ; ukiainisha matatizo unatakiwa uje na njia mbadala ya kuondoa tatizo hilo, wewe ukisema Mungu ajaumba dunia basi unapaswa uje utuambie nani aliumba dunia? kama ujui basi ni vyema ukakaa kimya sio kuonyesha matatizo bila kutoa majibu ni upuuzi
Usilete kuzunguka zunguka kama hayo nilioandika ni uongo kuhusu kile unachokieleza humu , sema kipi uongo na ukweli ni upi ,halafu tutaanzia hapoNimekueleza "elimination method" hapo juu, umeielewa?
Nikikwambia square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, halafu nikakwambia square root ya 2 ni 10.
Utakubali?
Labda kama hujui
Ila tambua uislamu ni dhehebu la katoliki
Mtoa mada soma kitu inaitwa the council of nicea. Hutaandika upuuzi wako huo
Kwa ufupi ngoja nikudokezeInasemekena Uislamu unaitambua Sabato na dhehebu la SDA linasadiki fundisho hilo la Waislamu. Na waislamu wanakiri Yesu sio Mungu na wala Mwana Wa Mungu.
Kanisa Katoliki linasema yeyote anakiri kwamba Yesu sio Mungu Huyo ni mpinga Kristo. Je,hapo ni nani ni rafiki Wa Uislamu?
Kwa ufupi ngoja nikudokeze
Kanisa katoliki lilivumbua korani ili liweze kupata njia mpya ya kutekeleza madogma na mapokeo yake.
Pia inajulikana wazi kwamba kiti cha upapa kilitoka katika upagani wa Uislamu;, maana kuna kipindi UPAPA ulipata jeraha la mauti, yaani PAPA alitekwa na wafaransa , sasaax wale askari walipokuja kumteka PAPA ndio walikuta nyuma ya kiti cha papa maneno ya kiarabu ambayo yapo kwenye Quran pia.
Alexander Hislop, akizungumza juu ya kiti cha enzi cha Petro au kiti cha enzi anachokalia Papa, anasema
“wakati askari wa Ufaransa chini ya Jemedari Bonaparte walipoimiliki Roma mwaka 1795, walikuta nyuma yake, kwa Kiarabu, sentensi hii inayojulikana sana kutoka kwenye Korani,
“Hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu, na Mohhomed ni Mtume Wake” — (The Two Babylons, Page 213, Chapter 6, Religious Orders, Section L).
NITAKUJA KUELEZA HADI JINSI waislamu wanavyomuamini maria kama wakatoliki,
Yaani ukiangalia hata mwanzo wa uislamu , unakuta kuna padri ndio anamtabiria Muhamad kuanzisha uislamu....
NITAKUJA BAADAE KUKUFUNZA NIPO CLASS NAMALIZIA LECTUREView attachment 932343View attachment 932345
Wewe unaifahamu historia vzr?Umesoma historia gani? Hivi unafahamu dola ya Rumi ilianguka mwaka gani?
UHAI UNATOKA WAPI?Nakwambia hivi.
Ukishaelewa hakuna Mungu (muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote), utajua hizo habari zote za Uislamu na Ukristo ni tungo za watu tu.
Hakuna Mungu.
Kwa hiyo hata Uislamu kuwa dini ya Mungu nayo ni fix tu.
Ukristo kuwa dini ya Mungu ni fix tu.
Hakuna Mungu.
Ndiyo maana ukisoma hivyo vitabu vya dini unaona contradictions kibao.
Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu anayeweza kuthibitisha Mungu yupo.
Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Sijui.UHAI UNATOKA WAPI?
Naomba kujua hivi wasabato nao ni Wakristo?Wakatoliki na wanaofata mafundisho ya kikatoliki watakuja kubisha ,wakati ukweli umewekwa wazi
Siku ukikutananae akikupa jibu la swali lako kwakuwa akili zake ni kuu kuliko sisi unahisi utampinga tena?Sijui.
Tutafute tujue chanzo. Na njiamoja ya kutafuta jibu lakweli, ni kuchambua majibu yanayowezekana kuwa ya kweli, kuyachunguza,yakionekana hayafai,tunayatupa.
Sasa basi, kwamfumo huo, tujiulize, je uhai unatokakwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendowote au la?
Jibu ni la.
Kwa sababu gani?
Mungu mwenye uwezo wote,upendo wote na ujuzi wote, asingeumba ulimwengu ambao uhaiunaisha kikatili na kuwatenganisha ndugu wanaopendana.
Mama anafiwa na mtotomchanga ambaye hata haja enjoy kuwa naye.
Baba anatenganishwa na mama,etc.
Huyo Mungu kwa nini awe mkatili hivyo? Si mnasema ana upendo wote? Ana uwezo wote? Ana ujuzi wote?
Kwa ninihakuumba ulimwengu ambao kifohakiwezekani popote,kwa yeyote, muda wowote, viumbe wake waishi raha mustarehe siku zote?
Ukichunguza utaona huyo Mungu hayupo.
Tutafute chanzoi cha uhai kwingine.
Nitamwambia nikosa lake kuwa na akili kuu hivyo halafu kujifichajificha tusimjue vizuri hata baada ya kuzozana sana.Siku ukikutananae akikupa jibu la swali lako kwakuwa akili zake ni kuu kuliko sisi unahisi utampinga tena?