SANAMU YA MNYAMA SASA INAPUMUA

SANAMU YA MNYAMA SASA INAPUMUA

Nitamwambia nikosa lake kuwa na akili kuu hivyo halafu kujifichajificha tusimjue vizuri hata baada ya kuzozana sana.

Angetupa akili kubwa ya kumjua bila shaka tungemjua bila mzozo.

Hutakiwi kumnyima mtoto elimu ya kujua kusoma, halafu akikua hajui kusoma, umuadhibu kwa sababu hajui kusoma!
Nimekuchungulia kwenye maandishi yako imani yako ni kweli Mungu yupo Ila umesongwa na wale wasiotaka kuamini wapotoshaji ushauri wangu isikilize nafsi yako achana na kutumia nguvu nyingi kupinga kuwa hakuna rangi ya kijani inayojitegemea kwa kuwepo blue na njano.
 
Nimekuchungulia kwenye maandishi yako imani yako ni kweli Mungu yupo Ila umesongwa na wale wasiotaka kuamini wapotoshaji ushauri wangu isikilize nafsi yako achana na kutumia nguvu nyingi kupinga kuwa hakuna rangi ya kijani inayojitegemea kwa kuwepo blue na njano.
Sitaki imani, nataka ujuzi.

Usilazimishe mambo. Na mimi naweza kuzusha mambo mabaya juu yako ambayo si ya kweli, hutapenda nikianza habari hizo.

Kama Mungu yupo, ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kufanyika, wakatialikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezeikufanyika?

Hili swali ni la wazi, hujalijibu.

Jibu swali.

Acha kulazimisha habari za kujifanya unanijua mimi kuliko ninavyojijua mwenyewe.
 
Back
Top Bottom