SANAMU YA MNYAMA SASA INAPUMUA

Nimekuchungulia kwenye maandishi yako imani yako ni kweli Mungu yupo Ila umesongwa na wale wasiotaka kuamini wapotoshaji ushauri wangu isikilize nafsi yako achana na kutumia nguvu nyingi kupinga kuwa hakuna rangi ya kijani inayojitegemea kwa kuwepo blue na njano.
 
Sitaki imani, nataka ujuzi.

Usilazimishe mambo. Na mimi naweza kuzusha mambo mabaya juu yako ambayo si ya kweli, hutapenda nikianza habari hizo.

Kama Mungu yupo, ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kufanyika, wakatialikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezeikufanyika?

Hili swali ni la wazi, hujalijibu.

Jibu swali.

Acha kulazimisha habari za kujifanya unanijua mimi kuliko ninavyojijua mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…