Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La wastani likoje mkuu ?Hilo tako halina ata mvuto, bs tu nashangaa wanaume wameweweseka vibaya mno hapa jf sijui kwnn...
Kila nakopita stry ndo hiyo tu khaa..tako liwe la wastani ndo lavutia, likizd zaid ya apo huwa ni kero
WoyooooooooooooMi mwenyew nnalo lkn Sijaona uzuri wa watu kulipapatikia
AiseeehTako ninalo tena halisia kbs sio la madawa ya kichina, na linavutia haswa lkn Sijaona umuhimu wake wa kulipenda.
Unfkr mie kuponda apo ndo sina, ni nalo ndiyo mana nimeongea [emoji3]
Asantecomputer generated Images, ni kama ukiangalia movies zile scenes labda mtu anachinjwa, au gari inalipuka, au mfano kwenye ile fast 6 sijui 7 sikumbuki, ambayo ilitoka baada ya paul walker kufariki, walitumia cgi ile scene ya mwisho alipoagana na vin diesel , yule aliact mdogo wa paul walker ila sura walibadilisha na wakaweka ya paul walker, sasa kufanya vile ni gharama sana na inatumia muda mwingi sana, sasa mtu gani apoteze pesa na muda wake alafu aje kutuvujishia bure bure atleast ingetumika kumblack mail, so ile ni sanchi kweli wajinga tu ndio watamwamini anavosema sio yeye
computer Generated ImagesCGI ni nini mkuu ?
Thankscomputer Generated Images
mimi Monitor La Saba B
Weweeeeee embu tulia huko Sanchi hana kitambi mtoto 8 figureHilo tako halina ata mvuto, bs tu nashangaa wanaume wameweweseka vibaya mno hapa jf sijui kwnn...
Kila nakopita stry ndo hiyo tu khaa..tako liwe la wastani ndo lavutia, likizd zaid ya apo huwa ni kero
Tako ninalo tena halisia kbs sio la madawa ya kichina, na linavutia haswa lkn Sijaona umuhimu wake wa kulipenda.
Unfkr mie kuponda apo ndo sina, ni nalo ndiyo mana nimeongea [emoji3]
Asa mie inanihusu nini?, [emoji3] kumbuka kuna uhuru wa kuchangia hapa jfWeweeeeee embu tulia huko Sanchi hana kitambi mtoto 8 figure
Njoo nikutofautishie mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]La wastani likoje mkuu ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DiasporaUSAWoyoooooooooooo
Ndo ivyo [emoji3]Aiseeeh
Sawa bana Pujo nimekuelewa. Tunapenda ivo ivo sijui kwanin si unajua hata embe kinachokuvutia kuhisi ni tamu ni ule unjano wa maganda ambayo mwisho wa siku hata hauyali..[emoji3][emoji3] kutuma uko kwa Mshana ni maamuzi pia, na ndo mana sikuwah kuchangia ule uz ata siku moja , wala kuusoma sijausoma
Kwani wote wa jf wametuma kwenye huo uzi?, bs jua kuwa ni maamuzi ya mtu kujiweka adharani au lah..
Na vile vile mimi sijamkosoa kwa Mwnyz Mungu jinsi alivyomuumba hpn, apa nilipo mimi mwnyw naijua dini vzr sn tu
Nilichomaanisha mimi ni kwamba wanaume wengi wanapapatikia matako, yana uzur gani?, kwnn usimpende mtu yeye kama yeye na si kuangalia tu umbile lake?, kwnn sie tuloumbika tunafatwa sn kwsbb ya hayo matako?..je kesho na kesho kutwa yakipungua hayo mtk utampenda?
So, nahs ulinielewa vibaya nilichomaanisha...mimi mwnyw ninalo na sifa napata sn kwa wanaoniona na kelele ndo hyo hyo mtk...ndo mn nkaulz yana umuhm gn kwenu nyinyi?, lkn sijakaa kumkosoa mtu apa, bs ningeanza kujikosoa mimi mwnyw.
Siyo kazi yako kuuona huo uzuri. Ukiona size yako haijadiliwi just kuwa mpole tu, labda wenye size zao wakienda kulala huenda na wewe ukajadiliwa kama utakuwepo around lakini.Sijaona uzuri mie
Mimi sina hata shida ya hiyo video naomba elimu CGI ni nini?ni yeye, bongo hamna mtu anaweza fanya CGI , kwanza kufanya cgi kwa dakika ni ela ndefu kichizi, sa mtu atumie ela zote izo alafu aje azivujishe ili nini sasa, mtu angefanya ivo lazima angem black mail uyo manzi, so yule ni sanchi atutolee ujinga na likyuma lake lichafu na ute ka kamasi
Maneno unayatupa hayo we mwali!Mi mwenyew nnalo lkn Sijaona uzuri wa watu kulipapatikia