Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kwani hawawezi kutumia mchina pamoja na mama yake ili wawapoteze watu maboya
Sio ugonjwa wala mchina ulishawahi muona mama yake sanchi ni copy ya mama yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hawawezi kutumia mchina pamoja na mama yake ili wawapoteze watu maboya
Sio ugonjwa wala mchina ulishawahi muona mama yake sanchi ni copy ya mama yake
Kumbe unajua kua kila mtu hupenda akitakacho,sasa ulikua unabwabwaja nini? Acha wivu kama umekauka kula balanced diet upate kamwili kidogo ili upunguze wivu,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haya, endeleeni kupenda...mn kuna msemo unasema " kipendacho roho ula nyama mbichi"
[emoji3][emoji3]Maneno unayatupa hayo we mwali!
[emoji3][emoji3][emoji3] htry kweli kweliSiyo kazi yako kuuona huo uzuri. Ukiona size yako haijadiliwi just kuwa mpole tu, labda wenye size zao wakienda kulala huenda na wewe ukajadiliwa kama utakuwepo around lakini.
Wewe ndio iliyoanza kukuuma kwa mwenzio kusifiwa,imekuchoma kama pasi Eeeh! fuata ushauri niliyokupa.[emoji3] imekuuma?, shobo au ni kit gn?
Hukua unaongea na mimi? ulikua unaongea na nani?Nadhani hukuelewa nilichomaanisha, alafu sikuwa naongea na ww...mbn mtt wa kiume afu unadandia gari kwa mbele? [emoji3][emoji3]....sipnd mazoea na ww...fuata yako bro.
Kwa hiyo anasambaza tu?Hiyo miguu sio kawaida
Wa dar mnawekewa tako la mchina mnashangiliaWa mikoani wala hauhitaji label
Kwa hiyo anasambaza tu?
nije wapi mkuu ?Njoo nikutofautishie mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3] kuleeenije wapi mkuu ?
Labda ta.ko lako lipo juu ya kiuno....Mi mwenyew nnalo lkn Sijaona uzuri wa watu kulipapatikia
Unajibabadua tu.....Tako ninalo tena halisia kbs sio la madawa ya kichina, na linavutia haswa lkn Sijaona umuhimu wake wa kulipenda.
Unfkr mie kuponda apo ndo sina, ni nalo ndiyo mana nimeongea [emoji3]
Wa dar mnawekewa tako la mchina mnashangilia
mtoni kwa aziz ally ?[emoji3][emoji3] kuleee
Anasema sio yeye.
Nimeshapoteza mabao yangu bure kabisa kama maneno yake yatakua yanaukweli wowote.
Ila natarajia kuingia chumba cha upelelezi wazile part 7 kwa kujiridhisha zaidi.
View attachment 1276166View attachment 1276169
ni yeye, bongo hamna mtu anaweza fanya CGI , kwanza kufanya cgi kwa dakika ni ela ndefu kichizi, sa mtu atumie ela zote izo alafu aje azivujishe ili nini sasa, mtu angefanya ivo lazima angem black mail uyo manzi, so yule ni sanchi atutolee ujinga na likyuma lake lichafu na ute ka kamasi