Sanchoka asema hatumii dawa, umbo lake amerithi kwa mama

Naomba kuuliza wadau,kazi ya hilo tako ni nin?,au ni kukalia tuu?!...
 
Mama kafeli huyo, lkn angetimiza wajibu wake asingefikia huku, hapa mtaani Kuna watoto wawili baba mwarabu, mama muhehe wana mizigo ya haja, wanatabia nzuri na wote wapo kwenye ndoa.
Mkuu nielekeze
 
Miili hiyo ni usawa wa dreamliner sisi wa vibombadier vyetu havina impact.. huo mwili utasex vp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…