Sanchoka asema hatumii dawa, umbo lake amerithi kwa mama

Sanchoka asema hatumii dawa, umbo lake amerithi kwa mama

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mrembo wa kichaga anaetamba bongo kutokana na umbo lake matata, ameonya watu kuacha kutumia picha zake kwenye matangazo ya dawa zao za kuongeza makalio kwani no kuwapotosha wadada
Sanchoka anasema" watu wanatumia picha zangu kwenye kutangaza dawa zao za kuongeza makalio wakati Mimi sijawahi hata siku moja kutumia, umbo langu nimelisi kutokana kwa mama yangu na namshukuru kwa Hilo".
Sanchoka amemalizia kwa kusema watu wasimkulie poa kwani umuhimu was nyumba siku zote no choo.
Picha sanchoka akiwa na mama yake mzazi
Inst-image-5.jpg
Inst-image-2.jpg
Inst-image-3.jpg
Inst-image-4.jpg
Inst-image-9.jpg
 
Dah!! Sanchoka bana. Aisee mie napita tu sitaki niseme mengi.
 
Back
Top Bottom