Sanchoka kwisha habari yake,mashabiki zake walia kama watoto wadogo kwa kutokuamini kilichotokea

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mashabiki wa Sanchoka wamewajia juu waandaaji wa shindano la miss bam bam 2018 baada ya mlimbwende binti Salim kuchukua taji la mrembo mwenye umbo la kibantu zaidi huku Sanchoka akishika namba 2 kwa tofauti ya kura 2311, Instagram ni moto juu ya moto mida hii,yaani hakukaliki. Je Sanchoka atatudi nafasi yake 2019.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…