Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Wallah tenaHahahaha
Uwiii mbavu zangu jamani ehhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wallah tenaHahahaha
Uwiii mbavu zangu jamani ehhh
Haki ya Mola wangu walahiWallah tena
na Bado Maji Hayafiki PanapostahiliWanachambia lita 20
Mmh huyo mbona ni kilema jamani. Wanamuachaje Sanchi mtoto kiuno kam nyigu
Embu weka picha mkuu ili tupate kuelewa zaidiDuuuh hapana hawamshindi sanchoka hata kwa dawa,wamemshinda minyama tu,sanchoka inye inye tumbo flat na size ya kawaida ila hawa MATINGINYA Miili kama YOTE.
Anachuchumaa kimba linatoka mkuu, sema huo mkimba wake sasa unakuwa kama guu la tembo, ukitua kama ndio vile vyoo vya shimo lazima usikie mtikisiko wa ardhi.Hivi hawa haja kubwa huwa wanajisaidiaje??
Hapa kwa wale wazee wa chama pendwa hii picha ni nyenzo tosha, washamsimika nao zamaaaaani.
Tena mtihani wa kumaliza darasa la 7 ni balaa, unaibuka na mafuta ya mtindi mtindi.Hapo ni mtihani kwa wale mafundi wa kupiga deki, ukifanya masihala utatoka na fangasi na mafua yasiyotibika.
😀Wanajambia mbali sana anaweza kuwa dar akajambia chalinze
Hawatakati muda wote papuchi inanukaHuyo dada ni kilema sio umbo hilo.