SoC04 Sanduku la maoni liwekwe kidigitali

SoC04 Sanduku la maoni liwekwe kidigitali

Tanzania Tuitakayo competition threads

cuth b

New Member
Joined
Jun 18, 2017
Posts
3
Reaction score
3
Kwa hali ya sasa masanduku ya kutolea maoni yapo kwenye ofisi husika jambo ambalo maoni kama yanamuhusu mhusika anaefungua halifanyiwi kazi au kupotezewa au wakati mwingine kuto kufwatiliwa kwa sanduku lile kabisa.

Jambo ambalo na pendekeza kufanyika ni kutengenezwe page online ambayo itamruhusu mtumiaji kuingia atachagua taasisi ambayo anataka kutoa maoni au malalamiko yake.

Mfano akiingia itakua na kuchagua jina la mkoa, Wilaya, Kijiji au kata. Taasisi/ mamlaka anayo tolea maoni. Kisha uwanja wa kutoa maelezo kwa kina yani maoni au malalamiko na yakaenda moja kwa moja kwa mkuu wa taasisi au kitengo husika kwaajili ya kutatua kero au kuboresha kama mwananchi alivyowaandikia.

Hii itasaidia kwa wananchi wasio jua au kuweza kufika kwenye ofisi au kitengo husika kilipo. Na pia itasaidia sio mpaka kuitishwe mkutano ndiopo mwananchi atoe maoni yake angali swala linaweza kusikilizwa au kusomwa mapema na kero ikatatulika.
 
Upvote 2
Mfano akiingia itakua na kuchagua jina la mkoa, Wilaya, Kijiji au kata. Taasisi/ mamlaka anayo tolea maoni. Kisha uwanja wa kutoa maelezo kwa kina yani maoni au malalamiko na yakaenda moja kwa moja kwa mkuu wa taasisi au kitengo husika kwaajili ya kutatua kero au kuboresha kama mwananchi alivyowaandikia.

Hii itasaidia kwa wananchi wasio jua au kuweza kufika kwenye ofisi au kitengo husika kilipo. Na pia itasaidia sio mpaka kuitishwe mkutano ndiopo mwananchi atoe maoni yake angali swala linaweza kusikilizwa au kusomwa mapema na kero ikatatulika.
Sawa lakini hii ni kama ipo kiundani zaidi.
Maana kama email za maeneo mengi haziangaliwi je tuna imani gani kwamba hizo maoni ndio zitaangaliwa??

Nia ya dhati tu inahitajika.
 
Ikiwa mwananchi ametoa pendekezo.. maoni au malalamiko anaweza kuambatanisha na picha kama ipo.. pale inapo pokelewa ataweza kupata notification itayoonyesha ombi au taarifa yake imepokelewa sehem flani na ina fanyiwa kazi. Kama kuna majibu yoyote ya mpango au utekelezaji atapata replay ama coment kutoka kwa wahusika hii itajenga imani kwa wananchi kua kero au wazo alilotoa limefika na linaweza kusaidia au kuboresha pahali.
 
Back
Top Bottom