stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 519
Salute wana Jf,
Wakuu nina biashara ya samaki waliokaangwa moja kwa moja kutoka ziwa victoria na kuja kuwauza hapa Dsm, nimefanya hvo kwa kuwa samaki wakikaa kwenye mafreezer kwa muda mrefu hupoteza ile radha yake haswaa,samaki wanakaangwa mara moja wakitolewa ziwani ili kuhakikisha radha yake inakuwa pale pale.Kwa sasa na supply maofisini kwa mtu mmoja mmoja, kwa anayehitaji naweza kumletea kiasi chochote atakacho hadi mahali alipo.Vile vile wakuu namhitaji mtu mwaminifu wa kuweza kunisaidia katika usambazaji.Kilo moja nauza Tsh 7000,Vile vile nakopesha mzigo kwa wale watakaohitaji mwingi na kufanya malipo in a weekly basis.
Ahsanteni
Mawasiliano yangu ni 0754729751
Wakuu nina biashara ya samaki waliokaangwa moja kwa moja kutoka ziwa victoria na kuja kuwauza hapa Dsm, nimefanya hvo kwa kuwa samaki wakikaa kwenye mafreezer kwa muda mrefu hupoteza ile radha yake haswaa,samaki wanakaangwa mara moja wakitolewa ziwani ili kuhakikisha radha yake inakuwa pale pale.Kwa sasa na supply maofisini kwa mtu mmoja mmoja, kwa anayehitaji naweza kumletea kiasi chochote atakacho hadi mahali alipo.Vile vile wakuu namhitaji mtu mwaminifu wa kuweza kunisaidia katika usambazaji.Kilo moja nauza Tsh 7000,Vile vile nakopesha mzigo kwa wale watakaohitaji mwingi na kufanya malipo in a weekly basis.
Ahsanteni
Mawasiliano yangu ni 0754729751