Santiago Solari kutimuliwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwenendo wa timu ya Real Madrid unamaanisha kwamba muda wa kocha wake mpya unahesabika .

Hii timu haina utaratibu wa kuvumilia ujinga , kipigo cha leo cha 3 - 0 dhidi ya CSKA MOSKVA ni cha kuaibishwa sana , ukiangalia hata mabao waliyofungwa utagundua Real imekwisha , wachezaji wanapigwa chenga za hovyo utadhani ni timu ya Taifa Jang'ombe !
 
Walikosea kabisa kumpa timu Solari. Jamaa uwezo wake unonekana wazi kabisa ni mdogo. Kwanza timu anaieka chini sana mastriker anawasumbua sana.
 
Walikosea kabisa kumpa timu Solari. Jamaa uwezo wake unonekana wazi kabisa ni mdogo. Kwanza timu anaieka chini sana mastriker anawasumbua sana.
shida spain hawana sheria ya interm coach!......

nafikiri they were running out of time as hakuna kocha aliekua tayar kwenda madrid as for now!
 
Kama ungeangalia kikosi cha jana basi utagundua kwamba timu ilikuwa tayari imeshafuzu kwahiyo ilikuwa lazima wachezaji wengine wapewe nafasi ya kucheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…