Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Dollar ni sarafu ya Marekani na inayotumiwa na Dunia nzima licha ya kuwepo sarafu mbali mbali zinazoundwa na baadhi ya umoja wa nchi mbalimbali kama Africa Mashariki, Umoja wa Ulaya n.k na lengo moja wapo ni sarafu hiyo itumike kibiashara kwenye nchi hizo
Sarafu mpya ya mataifa ya BRICS, ni vigumu na haitawezekana kushindana na Dollar ya marekani
Sababu za kushindwa ni moja tu na hii hapa
Sarafu ile ndio itakuwa ni sarafu ya umoja wa mataifa hayo yanayoundwa na China,Russia, Brazil na SA n.k ambapo nchi hizo nazo zina sarafu za ndani ya nchi zao
Tofauti na Dollar inayomilikiwa na Marekani, inatumika kama sarafu ya Marekani na duniani kote
Baada ya umoja wa Ulaya kuundwa, walikubaliana kuunda sarafu yao itakayotumika kibiashara katika mataifa hayo n.k
Hata hivyo, Dollar iliendelea na imeendelea kutumika pia katika mataifa hayo licha ya kuwepo sarafu yao pendwa
Akili yangu inanituma kuwa, ushindani wa sarafu unaoendelea sasa kwa nia ya kuiondoa Dollar kwenye mzunguko wa Dunia nzima, ni lazima pia iwepo sarafu ya nchi mojawapo yenye nguvu kiuchumi na itumie ushawishi wa kutosha ili kuzishawishi nchi zote kwanza zinazounda BRICS ziikubali na kisha zianze kuitumia kitu ambacho ni kigumu kwao, China atakubali Russia sarafu yake itumike kushindana na Dollar? Hali kadhalika Russia atakubali sarafu ya China ndio iwe mbadala wa Dollar?
Wakikubaliana kwenye hilo, hapo ndipo mchakamcaka wa kiushindani na Dollar itakuwa imeanza rasimi
Mpaka hapa, bado sjaona mchakato wa ushindani wa sarafu ya Dollar na sarafu nyingine yeyote
Kuiondoa Dollar kwenye mzunguko yahitaji utulivu wa akili na kazi ifanywe haswa pia ushawishi wa nguvu za uchumi, Dola n.k
Sarafu mpya ya mataifa ya BRICS, ni vigumu na haitawezekana kushindana na Dollar ya marekani
Sababu za kushindwa ni moja tu na hii hapa
Sarafu ile ndio itakuwa ni sarafu ya umoja wa mataifa hayo yanayoundwa na China,Russia, Brazil na SA n.k ambapo nchi hizo nazo zina sarafu za ndani ya nchi zao
Tofauti na Dollar inayomilikiwa na Marekani, inatumika kama sarafu ya Marekani na duniani kote
Baada ya umoja wa Ulaya kuundwa, walikubaliana kuunda sarafu yao itakayotumika kibiashara katika mataifa hayo n.k
Hata hivyo, Dollar iliendelea na imeendelea kutumika pia katika mataifa hayo licha ya kuwepo sarafu yao pendwa
Akili yangu inanituma kuwa, ushindani wa sarafu unaoendelea sasa kwa nia ya kuiondoa Dollar kwenye mzunguko wa Dunia nzima, ni lazima pia iwepo sarafu ya nchi mojawapo yenye nguvu kiuchumi na itumie ushawishi wa kutosha ili kuzishawishi nchi zote kwanza zinazounda BRICS ziikubali na kisha zianze kuitumia kitu ambacho ni kigumu kwao, China atakubali Russia sarafu yake itumike kushindana na Dollar? Hali kadhalika Russia atakubali sarafu ya China ndio iwe mbadala wa Dollar?
Wakikubaliana kwenye hilo, hapo ndipo mchakamcaka wa kiushindani na Dollar itakuwa imeanza rasimi
Mpaka hapa, bado sjaona mchakato wa ushindani wa sarafu ya Dollar na sarafu nyingine yeyote
Kuiondoa Dollar kwenye mzunguko yahitaji utulivu wa akili na kazi ifanywe haswa pia ushawishi wa nguvu za uchumi, Dola n.k